Huu ni muda muafaka Rais Magufuli kuijua sura halisi ya Prof. Muhongo

Maajabu ya Tz.
1. IPTL ilifunguliwa nchini na inakuwa registered kwamba wamiliki wake ni wawili ,mmoja ni VIP mweye 30% na mwingine 70%, lakini brella haimtambui mmiliki wa pili mwenye 70% inatambua mmoja ambaye ni rugemalila mwenye 30%.
2. IPTL ikiwa bado ina kesi mahakama ya kimataifa PAP anaruhusiwa kununua IPTL, Mamlaka wala hazizuii na kusema jamani subiri kesi iishe ndo ununue.
3. Kesi ikiwa mahakama ya kimataifa PAP anapewa pesa na umiliki wote wa mali za IPTL kwa kudanganya amemalizana na mbia wa IPTL ( rugemalila) mweye 30% ajulikanae brella na ndo alisign mkataba na Tanesco.
4. Tanesco wanasema sisi hatuijui SCB-HK, wakati huo huo SBC-HK alisign mkataba kati ya IPTL na Tanesco kama mnunuzi wa deni la Malaysia bank ambae alikuwa mbia wa awali wa IPTL, hivyo rights zote za IPTL zikawa transferred to SCB-HK.
5. Gavana wa Benki anaomba kinga kabla ya kulipa pesa kutoka kwa PAP kwamba kama wew sio mmiliki halali wa IPTL ,wew ndo utabidi ulipe deni serikali haitahusika, kwa hiyo moja kwa moja Gavana wa benki alijua kuwa PAP sio mmiliki ndo maana akaomba kinga, na alijua kuwa hapa tunakwenda kulipa kampuni Hewa lakini utafanyaje kama mamlaka zinataka hivyo? -----asante ndulu kwa kuliona hilo.
6. PAP anamhakikishia Gavana kuwa usiwe na shaka nitalipa deni wew nipe hizo pesa, baada ya kupewa anatoa pesa anampatia 30% VIP,na anabakiwa na 70% yake, huyu mnunuzi tuliambiwa kanunua IPTL iweje anasubiri pesa za Tanesco ndo amlipe mhusika wa IPTL? je alinunua 70% ya IPTL tu na zile 30% ikabidi asubiri pesa za Tanesco? ( PAP kanunua kampuni akiwa hana pesa yeyote-----wizi)
7. Mahakama ya kimataifa imetoa hukumu, Tanesco sasa wanaambiwa walipe SCB-HK kama mmiliki halali wa IPTL, hapa ndo tunagundua kuwa PAP alitupiga , anatupiga hadi sasa na atatupiga, PAP ni kampuni Hewa iliyoanzishwa haraka haraka na wanjanja kupiga pesa za Escrow , sasa badala ya kuchangamka na kuanza kuwachukulia hatua wahusika waliofanikisha zoezi hili kina singasinga( arudishe pesa na kufungwa), mwanasheria, hakimu fake na wengineo ,sisi tunabaki tunashangaa .....tuache mambo ya vyama, hapa kuna wizi, na serikali inatakiwa iwachukulie hatua wahusika.
 
Mafisadi bongo wanapumulia mashine kisa Muhongo ...mtaumia sana na jamaa yenu dalali wa vitalu, hapati kitu hapa
Muhongo muda wake ndio umewadia lazima awajibishwe kwa kuliingiza taifa kwenye shimo la nyuki
 
Yaani ukitaka ccm walie ongea escroooo...maana hill no pigo kubwa kwao hawana ujanja.....by the way..tulishaambiws sisi hatutadaiwa majumbani wala vibandani kwetu...italipa serikali kuuuuuu
Hiyo serikali kuu inachanzo gani cha fedha kama siyo kutumia fedha za jasho la kodi yetu?
 
Huna kazi asubuhi hii? Huu ni wakati wa kuandaa mashamba wewe asubuhi yote hii kujadili wenye kazi zao huna aibu...kichwa chako.
Masikini ya mungu hivi unatumia kichwa na kinywa kuongea maneno kama haya?
 
Kwenda zako wewe ni ******** na huna akili. Kama umetumwa huko na hao wezi wenzako kuja kuhalalisha wizi wao kaa huko na ukome.
Mbona hujasema muhongo alipokea billion ngapi? Nachukia watu kama nyinyi wanafiki mnaoturudisha nyuma kila kukicha.
Mimi ningekuwa nina uwezo watu kama ninyi nawadumbukiza kwenyw acid upotew kabisa.
Muhongo anahusika kwenye escrow na atawajibishwa tu
 
Japo kuna vitu haviko clear...wewe nimekuelewa...

Point namba 1 kuna usiri gani juu ya huyo mmiliki wa pili?...
kuna jamaa wa Malaysia aliwai kuniwakia akasema nyie wa TZ hovyo...akaanza kuongelea issue ya IPTL akisema hatuheshimu mikataba...nikawa namuona anaongea kichina...(sikuwa interested) ilikuwa miaka ya kati ya 2005 na 2007...
Huyo jamaa alikuwa bosi serikali ya Malaysia na vile vile mtu wa karibu wa wanasiasa huko kwao...tulikuwa tunasoma wote.

Hiyo 70 percent (number 1) ni kampuni ya mwanasiasa wa Malaysia au serikali ya Malaysia?

Maajabu ya Tz.
1. IPTL ilifunguliwa nchini na inakuwa registered kwamba wamiliki wake ni wawili ,mmoja ni VIP mweye 30% na mwingine 70%, lakini brella haimtambui mmiliki wa pili mwenye 70% inatambua mmoja ambaye ni rugemalila mwenye 30%.
2. IPTL ikiwa bado ina kesi mahakama ya kimataifa PAP anaruhusiwa kununua IPTL, Mamlaka wala hazizuii na kusema jamani subiri kesi iishe ndo ununue.
3. Kesi ikiwa mahakama ya kimataifa PAP anapewa pesa na umiliki wote wa mali za IPTL kwa kudanganya amemalizana na mbia wa IPTL ( rugemalila) mweye 30% ajulikanae brella na ndo alisign mkataba na Tanesco.
4. Tanesco wanasema sisi hatuijui SCB-HK, wakati huo huo SBC-HK alisign mkataba kati ya IPTL na Tanesco kama mnunuzi wa deni la Malaysia bank ambae alikuwa mbia wa awali wa IPTL, hivyo rights zote za IPTL zikawa transferred to SCB-HK.
5. Gavana wa Benki anaomba kinga kabla ya kulipa pesa kutoka kwa PAP kwamba kama wew sio mmiliki halali wa IPTL ,wew ndo utabidi ulipe deni serikali haitahusika, kwa hiyo moja kwa moja Gavana wa benki alijua kuwa PAP sio mmiliki ndo maana akaomba kinga, na alijua kuwa hapa tunakwenda kulipa kampuni Hewa lakini utafanyaje kama mamlaka zinataka hivyo? -----asante ndulu kwa kuliona hilo.
6. PAP anamhakikishia Gavana kuwa usiwe na shaka nitalipa deni wew nipe hizo pesa, baada ya kupewa anatoa pesa anampatia 30% VIP,na anabakiwa na 70% yake, huyu mnunuzi tuliambiwa kanunua IPTL iweje anasubiri pesa za Tanesco ndo amlipe mhusika wa IPTL? je alinunua 70% ya IPTL tu na zile 30% ikabidi asubiri pesa za Tanesco? ( PAP kanunua kampuni akiwa hana pesa yeyote-----wizi)
7. Mahakama ya kimataifa imetoa hukumu, Tanesco sasa wanaambiwa walipe SCB-HK kama mmiliki halali wa IPTL, hapa ndo tunagundua kuwa PAP alitupiga , anatupiga hadi sasa na atatupiga, PAP ni kampuni Hewa iliyoanzishwa haraka haraka na wanjanja kupiga pesa za Escrow , sasa badala ya kuchangamka na kuanza kuwachukulia hatua wahusika waliofanikisha zoezi hili kina singasinga( arudishe pesa na kufungwa), mwanasheria, hakimu fake na wengineo ,sisi tunabaki tunashangaa .....tuache mambo ya vyama, hapa kuna wizi, na serikali inatakiwa iwachukulie hatua wahusika.
 
Jamani. Wanajamvi tulishaambiwa kuwa watanzani hatutalipa hela hizo italipa serkali kuuu....za deni la taifa na hizi vilevile watalipa...mwisho was siku tutaishia gerezani kwa kuhoji ukweli...maana nasikia Luna mkulu aliagiza polisi wawakamate wanaowapiga....Mimi simo
 
Kama kuna watu ambao walihisi Prof Muhongo alionewa kuhusishwa na kashfa ya ESCROW na Mkuu wa kaya nae anaamini hivyo kuwa alionewa, na hii ndio maana alimrudisha tena kwenye wadhifa wake wa awali wakati huu wa ufalme wake.

Sasa wa kuifahamu ESCROW A-Z ni Rais Magufuli baada Tanzania kuamriwa kulipa billion 320, hapa ndiko atakapojua ni nani mhusika kweli wa Sakata la ESCROW, hapa ndipo atakapojua kuwa uteuzi wake kwa Prof. Muhongo una tija kwa taifa au laah! Nina uhakika mkuu hatakubali haraka haraka kulipa zigo hilo lote pasipokujua ni nani amelitia taifa hasara.

Je, akikuta ni kweli Prof Muhongo nae alikuwemo kwenye michongo hiyo atamwacha aemdelee kuchapa kazi kunako wizara?
Je, atakuta Prof aliingizwa tu mkenge pasipo kujua na waliokuwa wamazunguka?

Mimi sina jibu kamili lakini kwa wakati huu tu pekee mkuu ataitambua taswira halisi ya Prof. Muhongo.
tunajua mna hasira sana na prof. Muhongo kisa mzee mengi. poleni.
 
Japo kuna vitu haviko clear...wewe nimekuelewa...

Point namba 1 kuna usiri gani juu ya huyo mmiliki wa pili?...
kuna jamaa wa Malaysia aliwai kuniwakia akasema nyie wa TZ hovyo...akaanza kuongelea issue ya IPTL akisema hatuheshimu mikataba...nikawa namuona anaongea kichina...(sikuwa interested) ilikuwa miaka ya kati ya 2005 na 2007...
Huyo jamaa alikuwa bosi serikali ya Malaysia na vile vile mtu wa karibu wa wanasiasa huko kwao...tulikuwa tunasoma wote.

Hiyo 70 percent (number 1) ni kampuni ya mwanasiasa wa Malaysia au serikali ya Malaysia?
Mmiliki wa pili wa IPTL ni Mechmar , ambae alikuwa anamiliki hisa (7) equivalent to 70% , kilichofanyika kuna company inaitwa pipe link alidai amenunua hisa za Mechamar, SCB-HK waliposikia kitu kama hicho , SCB-HK wakaenda mahakamani Uk kufungua shauri la kupinga, pia wakaomba mahakama ikamate Hati miliki za Mechmar , baadae mahakama ilifanya uchunguzi na kugundua pipe links ni kampuni fake ambayo haitambuliki sito tu Uk bali duniani kote. Baadae mahakama ili chukua hati miliki za hisa zote za Mechmar na kuikabidhi SCB-HK . Pipe links hakuishia hapo, alichokifanya Tanzania ni kuendeleza madai yake kuwa yeye ndo mmiliki halali wa share za Mechmar pasipokuwa na hati miliki za share zile, hivyo alimiliki hisa fake, hivyo pipe links akauza share zake kwa PAP, hivyo PAP alinunua hisa hewa kutoka kwa Pipelinks. Baadae kulikuwa na kesi mahakamani na hukumu ilitolewa kuwa mmiliki halali wa IPTL ni PAP hivyo apewe mali zote za IPTL ambazo ziliwekwa mmufilisi mwaka 2008 kwa RITA. Hivyo baada ya hiyo kesi , mkurugenzi wa PAP yule mhindi akawaandikia barua TANESCO akidai yeye ndo mmiliki halali wa IPTL hivyo pesa zote apewe yeye, baada ya hapo mwanasheria mkuu wa serikali nae akawashauri Tanesco kuwa wakae na IPTL wakubaliane jinsi ya kupeana pesa. Hivyo kwa haraka haraka Mechamar aliuza hisa zake ( 70%) ambazo ni hewa pasipo kuwa na hati miliki za hisa kwa Pipelinks kwa 6mil USD, pipelinks akauza hisa kwa PAP ( hisa hewa) kwa 20 mil usd, lakini PAP akaenda TRA na kuandikisha kuwa kanunua hisa kutoka pipelinks kwa TSH 320,000, ambapo TRA wakashituka na kukataa kumhesabia ushuru anaotaka kulipa, hadi pesa zinatoka na kupewa PAP, hii kampuni bado ilikuwa haina Tax clearance certificate ambayo wangelipeleka brella iwe registered na kutambulika na pia kutambulia wizara ya nishati na madini. Sasa swali ni kwanini mtu huyu kapewa pesa zile akiwa amenunua hisa hewa? pia akiwa hana Tax clearance certificate na hakulipa kodi TRA na hatambuliki Brella?--------Ufisadi.
 
Kwa Kiswahili, CCM ni li zimwi, ila hili ni zimwi likujualo, halikuli likakwisha!, bora zimwi unalolijua kuliko zimwi usilolijua, 2020 tutalichagua tena na 2025 pia tutalichagua tena na tena na tena!.

Pasco
kwa mitanzania ilivyo mijinga CCM itatawala milele
 
Mmiliki wa pili wa IPTL ni Mechmar , ambae alikuwa anamiliki hisa (7) equivalent to 70% , kilichofanyika kuna company inaitwa pipe link alidai amenunua hisa za Mechamar, SCB-HK waliposikia kitu kama hicho , SCB-HK wakaenda mahakamani Uk kufungua shauri la kupinga, pia wakaomba mahakama ikamate Hati miliki za Mechmar , baadae mahakama ilifanya uchunguzi na kugundua pipe links ni kampuni fake ambayo haitambuliki sito tu Uk bali duniani kote. Baadae mahakama ili chukua hati miliki za hisa zote za Mechmar na kuikabidhi SCB-HK . Pipe links hakuishia hapo, alichokifanya Tanzania ni kuendeleza madai yake kuwa yeye ndo mmiliki halali wa share za Mechmar pasipokuwa na hati miliki za share zile, hivyo alimiliki hisa fake, hivyo pipe links akauza share zake kwa PAP, hivyo PAP alinunua hisa hewa kutoka kwa Pipelinks. Baadae kulikuwa na kesi mahakamani na hukumu ilitolewa kuwa mmiliki halali wa IPTL ni PAP hivyo apewe mali zote za IPTL ambazo ziliwekwa mmufilisi mwaka 2008 kwa RITA. Hivyo baada ya hiyo kesi , mkurugenzi wa PAP yule mhindi akawaandikia barua TANESCO akidai yeye ndo mmiliki halali wa IPTL hivyo pesa zote apewe yeye, baada ya hapo mwanasheria mkuu wa serikali nae akawashauri Tanesco kuwa wakae na IPTL wakubaliane jinsi ya kupeana pesa. Hivyo kwa haraka haraka Mechamar aliuza hisa zake ( 70%) ambazo ni hewa pasipo kuwa na hati miliki za hisa kwa Pipelinks kwa 6mil USD, pipelinks akauza hisa kwa PAP ( hisa hewa) kwa 20 mil usd, lakini PAP akaenda TRA na kuandikisha kuwa kanunua hisa kutoka pipelinks kwa TSH 320,000, ambapo TRA wakashituka na kukataa kumhesabia ushuru anaotaka kulipa, hadi pesa zinatoka na kupewa PAP, hii kampuni bado ilikuwa haina Tax clearance certificate ambayo wangelipeleka brella iwe registered na kutambulika na pia kutambulia wizara ya nishati na madini. Sasa swali ni kwanini mtu huyu kapewa pesa zile akiwa amenunua hisa hewa? pia akiwa hana Tax clearance certificate na hakulipa kodi TRA na hatambuliki Brella?--------Ufisadi.
mkuu porojo nyingi hizi.....Iptl wanazalisha umeme hadi sasa...na imo chini ya harbinder singh
 
Kuna majipu hakuna mwenye uwezo wa kuyatumbua kama hili na lile lililopita kiaina as if mkuu hakuliona. IPTL ni yetu tu hatuna jinsi
 
Kama kuna watu ambao walihisi Prof Muhongo alionewa kuhusishwa na kashfa ya ESCROW na Mkuu wa kaya nae anaamini hivyo kuwa alionewa, na hii ndio maana alimrudisha tena kwenye wadhifa wake wa awali wakati huu wa ufalme wake.

Sasa wa kuifahamu ESCROW A-Z ni Rais Magufuli baada Tanzania kuamriwa kulipa billion 320, hapa ndiko atakapojua ni nani mhusika kweli wa Sakata la ESCROW, hapa ndipo atakapojua kuwa uteuzi wake kwa Prof. Muhongo una tija kwa taifa au laah! Nina uhakika mkuu hatakubali haraka haraka kulipa zigo hilo lote pasipokujua ni nani amelitia taifa hasara.

Je, akikuta ni kweli Prof Muhongo nae alikuwemo kwenye michongo hiyo atamwacha aemdelee kuchapa kazi kunako wizara?
Je, atakuta Prof aliingizwa tu mkenge pasipo kujua na waliokuwa wamazunguka?

Mimi sina jibu kamili lakini kwa wakati huu tu pekee mkuu ataitambua taswira halisi ya Prof. Muhongo.
Du!.
 
Back
Top Bottom