Huu ni mtego, shituka mapema Gen Z

Huu ni mtego, shituka mapema Gen Z

Think2

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2025
Posts
2,193
Reaction score
3,957
Eti tumetenga billion 2 za content creators , ikumbukwe kwamba hata mo 29 maandamano yalichochewa mtandaoni kwa kiasi kikubwa hasa tiktok, fb na instragram.

Paul Makonda kawekwa pale kimkajati zaidi ili kunyamazisha gen z mtandaoni na strategy aliotumia nikuanza kuwavuta content creator mwisho wa siku afanye usajili wa content creator wote akiwasanganyia hio billion 2 mjipelekeee ndo mtajua hamjui.

Ukishasajiliwa moja kwa moja wataweza kucontrol kila kitu unachokipost lazima wakipitie wao kwanza kikiwa against wanadeal na wewe kimya kimya.

Anyway mtandanganywa eti kina ndaro wanaingiza ela ndefu huo ni mtego .
Hizo billion ni hewa hazipo
 
Sharti lao ili upate hzo hela itakuwa ni lazima ukajisajiri na baada ya kujisajiri na wakakujua hyo hela hautopewa
Kifuatacho sasa utalia kilio Cha mbwa koko
 
Nyie endeleeni kushtuka halafu mkipgwa njaa mnenda kula kwa shilole

Acha ambao hawajashtuka wale pesa!
 
CCM na Serikali yake wanatawala huku wanabuni njia za kuendelea kuwatawala kwa kucheza na akili za watu!
 
Back
Top Bottom