Huu ni mmea gani?

Huu ni mmea gani?

Zipo kama hizi
496bb20979f4cf2158e0d3455539dbc9.jpg

Ila zenyewe ni za njano epiphyte zinatandaa juu ya michongoma iligundulika Kilimanjaro mountain IPO sana kaskazini.
Ht hizi ni climbers pia lkn hazina rangi. Nishaziona
 
Huo mti ni wa maajabu sana..na mfano wake kama remote na tv...cku zote huwezi ona shina la huo mti,pia ni dawa ya pumu na kifua.ila kama utafanikiwa kupata shina lake (kiazi)ambalo huwa unaukontrol hayo majani yake bac ni dawa kubwa sna.
 
Nendeni pale sayansi kwenye viwanja hufanyika matamasha mara nyingi, kuna uwanja wa mpira na viwanja vya tennis, ipo hii miti kiibao!!
 
Unaitwa MVELI
Na huwa unaota juu ya mti ambao upo pair,yaani mti wa kike na wa kiume
Sasa wenyewe huota kwenye Mti wa kike,na ndio maana kwenye picha ukiangalia utaona pembeni kuna Mti wa Kiume,haujavaa VELI ila huo wa Kike ndio Umeota huo Mveli
Tatizo lake moja tu,harusi yake haiishi,veli halivuki mpaka bi harusi afe.Subiri mti jike ufe ndio na wenyewe unakufa
Acha uongo. Mbona unaota kwenye michungwa na yote inazaa.
 
Back
Top Bottom