Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,652
- 5,624
Tangu nimalize chuo sasa yapata ni miezi miwili,taaluma yangu ni Electrical Installation,baada ya kumaliza chuo nikaomba nafasi kwenye kampuni kama mbili ivi nafasi ya kuvolunteer....Lakini mpaka muda huu cjapigiwa simu wala kutumiwa kwenye Email yangu..Msaada jamini kwani kitaa kigumu jamani