HUU NDO UTARATIBU WA MAJESHI

HUU NDO UTARATIBU WA MAJESHI

PRINCEd

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2015
Posts
860
Reaction score
623
Katika hali ya Kushangaza classmet wangu ambaye alikuwa mwanajeshi walioko uko Congo wakirinda Amani, amekufa kwa Kupigwa na Radi akiwa kambini. Walikuwa watatu Watanzania wawili na MCongoman mmoja. Katika kudadisi Sijasikia ili likisemwa popote si serikali wala JWTZ

KUMBE....

Yawezekana Watanzania wenzetu walinda Amani katika nchi mbalimbali wanakufa mara kwa mara ili sisi watanzania hatujui..

Jeshi linasubiri wafe wengi kuanzia 14 ndo tupate taarifa...

Pengine uwa tunapewa taarifa za Uongo kuhusu msitakabari wa Walinda Aman Watanzania walioko katika mataifa Mbalimbali..

Kuna video moja ilkuwa inasabaa ikimuonesha Kiongozi wa Kikundi cha Al Shabaab akimuua kwa Kumpiga Risasi asikari wa Kenya lakini baadae akiwa na vitambulisho vya Askari wengine waliokufa mikononi mwao ili hali serikali ya Kenya haijatangaza kuhusu kuuwawa kwao...nilitaman kujua kuwa nini uwa sababu hasa.....

JE, kwanini haya na Mengine Hayasemwi....
 
Kwanini taarifa kama hizi wanajeshi kupigwa Radi kambini zifichwee
 
Siyo kila taarifa ya msiba (kifo cha mwanajeshi) mtataarifiwa, mengine yanabaki mambo ya familia, jeshi na nchi.

Jeshi na familia ya marehemu ikishajua inatosha. Au mnataka kila anapokufa mwanajeshi mpewe taarifa ili iweje mrekodi takwimu za vifo vyao au?
 
Siyo kila taarifa ya msiba (kifo cha mwanajeshi) mtataarifiwa, mengine yanabaki mambo ya familia, jeshi na nchi.

Jeshi na familia ya marehemu ikishajua inatosha. Au mnataka kila anapokufa mwanajeshi mpewe taarifa ili iweje mrekodi takwimu za vifo vyao au?
Ahsante MSEMAJI WA JWTZ!
 
Umeona like yangu huko?
Siyo kila taarifa ya msiba (kifo cha mwanajeshi) mtataarifiwa, mengine yanabaki mambo ya familia, jeshi na nchi.

Jeshi na familia ya marehemu ikishajua inatosha. Au mnataka kila anapokufa mwanajeshi mpewe taarifa ili iweje mrekodi takwimu za vifo vyao au?
 
Na mwezi wa pili mwaka huu kuna wengine watatu wamekufa Sudani, gari lao lilikanyaga bomu la kutegwa ardhini, watatu walkufa palepale na baadhi majeruhi ambapo mmoja kati yao hana miguu. Binafsi nimejua kwa kuwa ni rafiki ya ndugu wa marehemu, lkini hawakutangaza popote. Rip makamanda
 
Na mwezi wa pili mwaka huu kuna wengine watatu wamekufa Sudani, gari lao lilikanyaga bomu la kutegwa ardhini, watatu walkufa palepale na baadhi majeruhi ambapo mmoja kati yao hana miguu. Binafsi nimejua kwa kuwa ni rafiki ya ndugu wa marehemu, lkini hawakutangaza popote. Rip makamanda
Ilitakiwa umma ujue kuwa kuna vifo vya wanajeshi?
 
Saddism is inevitable when the situation is alarming!
 
Na vipi wale 13 na wengine wanaowatangaza, katika mkataba wao wa kazi majina yetu/yangu yapo? Acha maswali ya kitoto
'Siyo kila habari ni habari' Mbwa kuuma mtu siyo habari tena ila mtu kuuma mbwa ni habari kubwa sana.
 
Na vipi wale 13 na wengine wanaowatangaza, katika mkataba wao wa kazi majina yetu/yangu yapo? Acha maswali ya kitoto
Leo Muhimbili au hospitali yoyote ile kubwa kuna watu wengi wameaga dunia kwa sababu ya maradhi mbalimbali ila vyombo vya habari wala haviwezi kwenda kufuatilia taarifa hiyo.

Ila kufa wewe kwenye ajali na wenzako 30 lazima turipoti taarifa za msiba wako kwenye vyombo vya habari.

Asante.
 
Leo Muhimbili au hospitali yoyote ile kubwa kuna watu wengi wameaga dunia kwa sababu ya maradhi mbalimbali ila vyombo vya habari wala haviwezi kwenda kufuatilia taarifa hiyo.

Ila kufa wewe kwenye ajali na wenzako 30 lazima turipoti taarifa za msiba wako kwenye vyombo vya habari.

Asante.
Mkuu uyu classmet wangu alipigwa Radi ni vbaya umma ukijuaa??
 
Mkuu uyu classmet wangu alipigwa Radi ni vbaya umma ukijuaa??
Classmate wako! Hulijui jeshi wewe.

Mwaka 2012 ndugu yangu alifariki kwenye ajali ya gari, hivyo mwili wake ukaletwa nyumbani na wenzake (wanajeshi).

Walipofika walisema tunataka watu 8 waingie ndani kuaga mwili wa marehemu n watu hao wakatajwa kwa ukaribu wao na marehemu. (Mama, baba na kama baba hayupo basi baba mdogo, kaka wa marehemu, wadogo zake na jirani mmoja)

Sasa kama ndugu walizuiliwa kuingia kuaga mwili wa ndugu yao wewe unazungumzia mambo ya U classmate!

Ona aibu basi, jeshi lina taratibu zake.
 
Back
Top Bottom