Huu ndo utalii

Huu ndo utalii

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,092
Reaction score
53,568
ImageUploadedByJamiiForums1432188936.681390.jpg
 
Yaani kuna nchi Mungu aliwapendelea viongozi bora na sio watawala bora.....Tanzania sijui ingekuwa sehemu kama za jangwani na watawala hawa sijui tungekuwaje????!!!
 
Yaani kuna nchi Mungu aliwapendelea viongozi bora na sio watawala bora.....Tanzania sijui ingekuwa sehemu kama za jangwani na watawala hawa sijui tungekuwaje????!!!

Tungekuwa kama mauritania
 
Borabora = Tahiti. Hawa jamaa hawataki kabisa watalii masikini.
Maldives Islands, pia, wamefuata mfumo huo.

Halafu sikuwahi kujua kama Borabora = Tahiti. Asante kwa kunifumbua
 
Sijaelewa kitu hapa,..hebu fafanueni kidogo wakuu
 
Borabora, Tahiti ni moja ya visiwa vya French Polynesia, koloni la Ufaransa.

Borabora inajulikana kama kisiwa cha "honeymoon".

ImageUploadedByJamiiForums1432285890.559211.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1432285909.825761.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom