Huu ndo ugonjwa wangu

Apa vipi kiburudisho?
 

Attachments

  • 1444680799985.jpg
    47.3 KB · Views: 294
Yaani kabla sijaanza kumnywesha sumu ya mahaba demu huwa cha kwanza naangalia vidole vya miguu yaani hapo ndo mapepo yangu yalipolala.Sijui wenzangu na mimi akina Baba Fanueliiii huwa mnachek nini

Huyu ni msambaa bila shaka,
 

Umelonga kwel tupu yaan
 
Yaani kabla sijaanza kumnywesha sumu ya mahaba demu huwa cha kwanza naangalia vidole vya miguu yaani hapo ndo mapepo yangu yalipolala.Sijui wenzangu na mimi akina Baba Fanueliiii huwa mnachek nini

Wewe kama mimi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…