Huu ndo ugonjwa wangu

Huu ndo ugonjwa wangu

Apa vipi kiburudisho?
 

Attachments

  • 1444680799985.jpg
    1444680799985.jpg
    47.3 KB · Views: 288
Yaani kabla sijaanza kumnywesha sumu ya mahaba demu huwa cha kwanza naangalia vidole vya miguu yaani hapo ndo mapepo yangu yalipolala.Sijui wenzangu na mimi akina Baba Fanueliiii huwa mnachek nini

Huyu ni msambaa bila shaka,
 
Ha ha ha haaaa kuna pahali kwa mchaga mmoja muuza mtumba nikipita nimevaa viatu vya wazi ananiambia funika kwanza hivyo vidole ndio uongee na mimi hivi akili yangu ya chini imeharibukaaa...
ANGALIZO: Ili ufaidi vizuri inakubidi uwe mpaka rangi miguu yao... utawapata wa kutoooosha!

Umelonga kwel tupu yaan
 
Yaani kabla sijaanza kumnywesha sumu ya mahaba demu huwa cha kwanza naangalia vidole vya miguu yaani hapo ndo mapepo yangu yalipolala.Sijui wenzangu na mimi akina Baba Fanueliiii huwa mnachek nini

Wewe kama mimi
 
Back
Top Bottom