bravo CCM. Ni ulaji kwa kwenda mbele. Si unajua chaguzi zinakaribia ? Lazima tuwe na hela za T-Shirts na capelo kwa ajili ya vidampa wetu. Tunawashauri hao wa Mufindi waachane na kupasua mbao - uzeni kura zenu kwa CCM kwa bei mbaya na fedha mtapata ili muache kupiga kelele.