Watanzania tufikie mahali fulani tuache kuwatukuza wazungu. Hawa ndio wauaji wakubwa kwenye hii dunia. Waleta machafuko kwa maslahi yao binafsi tujaribu kujifunza yanayotokea nchi zilizo kwenye vita sasa hivi ni hawa wazungu ndio wanainjia haya
Nikirejea kichwa changu cha habari.
Kumekuwa na trends kubwa sana ya gazeti la economics kumchafua rais Magufuli na hata kumtukana kabsa. Hapa ngoja tuseme ukweli haijawahi kutokea rais kama Magufuli huyu ni level nyingne kabsa aliyethubutu kuwatisha haya makampuni makubwa duniani na kuwa na msimamo thabiti juu ya rasilimali zetu hivyo msitegemee kabsa hili litawapendeza hawa jamaa
Mfano, Labda tukisema ni Accacia wapo nyuma ya hili la kumchafua Rais Magufuli kwa kuhonga hao waandishi wa haya makampuni makubwa ya upashaji habari kwa lengo la kusambaza habari za uongo kama wasemavyo sasa????
Kwani ni lini sisi watanzania tuliwahi kuwa na maisha ya asali na maziwa kabala ya Magufuli? Hapa wanachojaribu ni kumtisha Rais Magufuli ili kulegeza msimamo wake juu ya rasilimali zetu ili waendelee kutuibia na kujinufaisha...
Kuna watu humu ndani eti wanasema wacha watuibie maana tuliingia nao mikataba sisi wenyewe. Ni ujinga kusema haya maneno. Kosa ni kurudia kosa na ndio maana sasa tumegoma kurudia makosa.
Sasa hili linawaumiza sana hawa wazungu na sasa wapo tayari kabsa kuona nchi hii inaingia machafukoni kuhakikisha Magufuli anaondoka madarakani ili waendeleze ujinga wao. Hakuna mzungu yupo tayari kuona nchi kama yetu yenye rasilimali lukuki ikawa na rais kama Magufuli.
Rais ambaye mpaka sasa ameishakataa kujipendekeza kwao hata kutoa mguu wake nchini. Hili linawaumiza sana washindwe jua Magufuli ni rais wa aina gani. Tutegemee chochoko nyingi mno juu ya nchi yetu.
Ni serikali yetu inachotakiwa kufanya ni kuendelea kukaza hapo hapo hakuna kuwachaekea.
Halafu kinachouma zaidi ushabiki wa hawa wenzetu wa upande wa pili CHADEMA kushabikia kila baya linalosema juu ya nchi yetu kisa tu rais katoka CCM....hii inaumiza sana
Hivi nyie mnaolalamika maisha ya Tanzania yamekuwa magumu ebu toeni reference ya nchi kumi kati ya nchi zote Afrika kutoa waarabu ambayo tungetamani tuwe na Rais kama wao na maisha yao pia?????
All in all Magufuli tunamtukana sana but a guy ana lengo zuri sana na nchi hii bahati mbaya anaongoza taifa la watu waajabu kweli na kwa dunia tunaongoza kwa unafiki
Nikirejea kichwa changu cha habari.
Kumekuwa na trends kubwa sana ya gazeti la economics kumchafua rais Magufuli na hata kumtukana kabsa. Hapa ngoja tuseme ukweli haijawahi kutokea rais kama Magufuli huyu ni level nyingne kabsa aliyethubutu kuwatisha haya makampuni makubwa duniani na kuwa na msimamo thabiti juu ya rasilimali zetu hivyo msitegemee kabsa hili litawapendeza hawa jamaa
Mfano, Labda tukisema ni Accacia wapo nyuma ya hili la kumchafua Rais Magufuli kwa kuhonga hao waandishi wa haya makampuni makubwa ya upashaji habari kwa lengo la kusambaza habari za uongo kama wasemavyo sasa????
Kwani ni lini sisi watanzania tuliwahi kuwa na maisha ya asali na maziwa kabala ya Magufuli? Hapa wanachojaribu ni kumtisha Rais Magufuli ili kulegeza msimamo wake juu ya rasilimali zetu ili waendelee kutuibia na kujinufaisha...
Kuna watu humu ndani eti wanasema wacha watuibie maana tuliingia nao mikataba sisi wenyewe. Ni ujinga kusema haya maneno. Kosa ni kurudia kosa na ndio maana sasa tumegoma kurudia makosa.
Sasa hili linawaumiza sana hawa wazungu na sasa wapo tayari kabsa kuona nchi hii inaingia machafukoni kuhakikisha Magufuli anaondoka madarakani ili waendeleze ujinga wao. Hakuna mzungu yupo tayari kuona nchi kama yetu yenye rasilimali lukuki ikawa na rais kama Magufuli.
Rais ambaye mpaka sasa ameishakataa kujipendekeza kwao hata kutoa mguu wake nchini. Hili linawaumiza sana washindwe jua Magufuli ni rais wa aina gani. Tutegemee chochoko nyingi mno juu ya nchi yetu.
Ni serikali yetu inachotakiwa kufanya ni kuendelea kukaza hapo hapo hakuna kuwachaekea.
Halafu kinachouma zaidi ushabiki wa hawa wenzetu wa upande wa pili CHADEMA kushabikia kila baya linalosema juu ya nchi yetu kisa tu rais katoka CCM....hii inaumiza sana
Hivi nyie mnaolalamika maisha ya Tanzania yamekuwa magumu ebu toeni reference ya nchi kumi kati ya nchi zote Afrika kutoa waarabu ambayo tungetamani tuwe na Rais kama wao na maisha yao pia?????
All in all Magufuli tunamtukana sana but a guy ana lengo zuri sana na nchi hii bahati mbaya anaongoza taifa la watu waajabu kweli na kwa dunia tunaongoza kwa unafiki