Nasubiri kuona hili rungu la kubana matumizi likishukia mbio za mwenge. Na nadhani huo ndio mtihani wa dhati kwa mheshimiwa mengine yote yalikuwa ni vitesti vya kila wiki
Mkuu,unamfahamu aliyeanzisha mbio za mwenge alikusudia kitu gani?Nasubiri kuona hili rungu la kubana matumizi likishukia mbio za mwenge. Na nadhani huo ndio mtihani wa dhati kwa mheshimiwa mengine yote yalikuwa ni vitesti vya kila wiki
tayari ameshfanya na amefeliMtihani mkubwa kwa magufuli ni suala la zanzibar, sio mwenge
Hivi mwenge unadumishaje amani??? Ni ushirikina tu huuDhumuni la mwenge ni kubwa na ni hitajio kwa kudumisha amani na kuleta maendeleo hata kama lengo hilo halifikiwi kwa sasa isiwe sababu ya kuufuta
mwenge ni alama ya umoja
mwenge ni inshara ya upendo kwa watanzania.
zitafutwe njia mbadala za kuuhudumia lakini sio kuufuta nitamdharau sana mkuu wa kaya akifuta tunu ya taifa
ni matumaini yangu kuwa hawezi kupata fikra mbovu za kuufuta mwenge wenye kuleta hamasa za mshikamano wa kitaifa na kuendeleza amani iliyopo masuala ya gharama za uendeshaji wa zoezi zima ndio yaangaliwe upya katika kukwepa ujanja janja unaoleta kero kwa wanamchi
mkuu kwa nijuavyo mwenge hautaachwa kukimbizwa maana ni mzim au tambiko fulan hvi, hum ndan kuna mada ya mwenge itafute kunamtu amechambua vzr sana, jinsi ulivyo anza kwa nn unakimbizwa mpka leo,Moto hauwezi kudumisha amani ni ushirikina huo haiwezekani watwambie unamulika maadui ndani na nje ya nchi hiyo ni Ibadan ya masisiemu ogopeni sana mwenge wakiuzungusha watanzania wanakuwa mazuzu wanna wachagu kisha wanaanza kulia na maisha magumu magu hana uwezo wa kuufuta kama kidume ajaribu aone kitakacho mpata