Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,618
Ukiwa na degree wanakulipa laki tano na sabini na nne bila makato, wakikata makato yoooote unabakiwa na shilingi laki nne na ishirini na mbili na mia tano.
Asanteni kwa kunisikiliza
Asanteni kwa kunisikiliza