Huu mwaka utaisha lini?

Umeshachoka mara hii? Hata Juni 2 hatujafika. Vuta subira ndugu yangu it is going to be a great year.
 
deh deh deh! uliota unakufa nini? ngoma ndo kwanza iko mwezi wa kwaza wa januari na kwa ziki za kibongo hii kalenda huwa inakwenda slow moshani kama starring wa mchezo wa kihindi akichapwa na adui.
 
Mkuu ndio kwanza kumekucha, ni tarehe tano ya January, kwisha baada ya siku 360
 
Back
Top Bottom