Huu mwaka nimeutimba sijui hata nafanyaje?

Huu mwaka nimeutimba sijui hata nafanyaje?

Iko hivi ,nilihamia hapa dsm mnamo mwezi wa saba mwaka jana nilivofika kuna dem nilisoma nae chuo tukadate kidogo then after mimi kumaliza chuo nikamtema coz hakua chaguo zangu ..

Sasa nilivokuja hapaa, akawa amenicheki akaniambia yeye yuko moro...ni muda mrefu sana hatukua tumewasiliana kama miaka minne hivi tangu tumalize chuo.

Alivonicheki plus upweke na upwiru wa ugeni hapa dar ikabidi nimuite walau nipunguze upwiruu..

Alivokuja nimepiga hiyo cku karudi job kwake baada ya wiki tatu ananiambia ana mimba,nikasema sio shida

Alivokaribia kujifungua akabeba baadhi ya vyombo akaja gheto kuviacha ili aende kwao kujifungua..

Sasa alivojifungua kakaaa kama miezi minne bila mm kumfuata maana mategemeo yake kwamba nimfuate tuje tuishi pamoja...

Alivoona simfuati akaamua afunge safari na mabegi yake yote aje kwangu bila taarifa..alivofika usku nikashindwa mfukuza ikabidi nimpokee

Sasa shida inakuja hataki kutoka rudi kwao, mm moyo wangu hauko kwake na ninaona hata tukioana hatuwezi kuwa na chemistry nzuri..

Nishajaribu kila mbinu yakumtoa ila nimeshindwa cjui hata nifanyaje wakuuu...aaaaah nachoka mwenzenuu
 

Attachments

  • 75905974-9B07-4275-A686-1BC6716DDC25.jpeg
    75905974-9B07-4275-A686-1BC6716DDC25.jpeg
    173.1 KB · Views: 19

Iko hivi ,nilihamia hapa dsm mnamo mwezi wa saba mwaka jana nilivofika kuna dem nilisoma nae chuo tukadate kidogo then after mimi kumaliza chuo nikamtema coz hakua chaguo zangu ..

Sasa nilivokuja hapaa, akawa amenicheki akaniambia yeye yuko moro...ni muda mrefu sana hatukua tumewasiliana kama miaka minne hivi tangu tumalize chuo.

Alivonicheki plus upweke na upwiru wa ugeni hapa dar ikabidi nimuite walau nipunguze upwiruu..

Alivokuja nimepiga hiyo cku karudi job kwake baada ya wiki tatu ananiambia ana mimba,nikasema sio shida

Alivokaribia kujifungua akabeba baadhi ya vyombo akaja gheto kuviacha ili aende kwao kujifungua..

Sasa alivojifungua kakaaa kama miezi minne bila mm kumfuata maana mategemeo yake kwamba nimfuate tuje tuishi pamoja...

Alivoona simfuati akaamua afunge safari na mabegi yake yote aje kwangu bila taarifa..alivofika usku nikashindwa mfukuza ikabidi nimpokee

Sasa shida inakuja hataki kutoka rudi kwao, mm moyo wangu hauko kwake na ninaona hata tukioana hatuwezi kuwa na chemistry nzuri..

Nishajaribu kila mbinu yakumtoa ila nimeshindwa cjui hata nifanyaje wakuuu...aaaaah nachoka mwenzenuu
Watoto wa kinondoni ndo maana mnafirwa matako yako
 
Mapenzi ndo Yako hivyo mkuu hapo yeye kazama halafu wewe hauna hata hisia nae

Muda huo huo Kuna ma msela yanafukuzia halafu Hana muda nao

Hapo hapo unakuta Kuna pisi umeielewa ila Wala haina muda na wewe

Ndo mapenzi yalivyo unaempenda kampenda mwingine huyo mwingine na yeye ana mwingine


Huyu demu wako utakuta akitongozwa anasema ana mtu wake

Mtu wake mwenyewe Sasa kumbe na yeye anatafuta mtu wake
 
Mapenzi ndo Yako hivyo mkuu hapo yeye kazama halafu wewe hauna hata hisia nae

Muda huo huo Kuna ma msela yanafukuzia halafu Hana muda nao

Hapo hapo unakuta Kuna pisi umeielewa ila Wala haina muda na wewe

Ndo mapenzi yalivyo unaempenda kampenda mwingine huyo mwingine na yeye ana mwingine


Huyu demu wako utakuta akitongozwa anasema ana mtu wake

Mtu wake mwenyewe Sasa kumbe na yeye anatafuta mtu wake
Yaani ni kasheshe!
 
Kama n kweli nakushauri umuoe kaka huyo anaonesha anaupendo wa kweli toka kwako na n bora mwanamke akupende wewe mkui kuliko wewe umpende sababu hujui moyon mwake naye anampenda nani
Wengi tulio oa scenario zipo hvyo mkuu na ndoa zinafuraha tumekubal matokeo na tunawapendezesha had mda huu tunajiuliza.tulitaka.kupoteza mali kizembe upendo.umetawala
 
Back
Top Bottom