Loyola high school kabla mwanafunzi kidato cha tano hajaanza hutakiwa kulipa laki mbili hizo hazipo kwenye ada na application form ni sh elfu ishirini,hivi sasa ada ni milioni moja laki nne kwa mwaka,na hapo tunaambiwa ni shule zilizo chini ya taasisi za dini,fikiria hiyo form ni elfu ishirini wanafunzi wangapi wanaomba,ukikubaliwa kiingilio ni hizo laki mbili hizo haziingiliani kabisa na ada,hizi shule nazo ni fisadi hakuna cha shule za dini wala nini na Loyola si shule ya bweni,nenda Shabaan Robert,mambo ni hayohayo,huko Mzizima ndo usipime