Hussein Bashe Tunawajibu wa kukataa woga ,Tunawajibu wa kutoruhusu Mis use ya vyombo vya Ulinzi

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,281
Kutoka kwa Mbunge wa Jimbo la Nzega kupitia CCM Hussein Bashe Tunawajibu wa kukataa woga ,Tunawajibu wa kutoruhusu Mis use ya vyombo vya Ulinzi na usalama tunawajibu wa kulinda Taifa letu
Roma amepotea Nape alitishiwa kuuwawa,Msukuma ,Malima na Bashe walitekwa "social media ikawaokoa",Ney alikamatwa "Rais akamuokoa"
Tunakabiliwa na vita kubwa ya kupambana na Umasikini na kujenga Taifa huru la kiuchumi .Umasikini ni hatari kwa usalama wa taifa sio nyimbo.
Tukikaa kimya kwakufikiri kuwa hayanihusu mimi yanamhusu yule yatakapokufika wewe hatakuepo mtu wa kukutetea na halitakuepo Taifa la Tz.
 
Sana tena sana ndg Bashe.kwakua vyombo hivi vipo nchini ya ccm vinatumika vby sana,kuonea watu,kikandamiza demokraca,kupoteza watu,Saa 8 na Roma mkatoliki,kuua watu,kunyamazisha wasema kweli,kutesa watu,kudhalilisha mf, kumvua nguo mbunge wa kike.uvamizi km clauds.kutishia watu mf.nape,hakika kuna haja ya kukemea jambo hili kwa nguvu zote.
 
Back
Top Bottom