Hussein Bashe anatoa wapi jeuri aliyonayo?

Sawa anampinga je anatumia hoja gani kumpinga?? Zina mashiko ama hazina??? Shida yenu hamtaki kukosolewa mbona kwenye makinikia alimpongeza magufuli na akasema ni mzalendo au wwe ulitaka awe kma polepole kusifia kila kitu tu??
 
Sawa anampinga je anatumia hoja gani kumpinga?? Zina mashiko ama hazina??? Shida yenu hamtaki kukosolewa mbona kwenye makinikia alimpongeza magufuli na akasema ni mzalendo au wwe ulitaka awe kma polepole kusifia kila kitu tu??

Read between the lines sir
 
Hahah wewe umenfurahisha sana.... Hivi bashe Peke ake ndie aliekua anamuunga mkono mbna wapo wengi tu nawapo bungeni bt wamekua ni wazee wakupiga debe tu nakusema ndio.... Hivi huwa unafwatilia hotuba na michango yke bungeni,.. Ushawai ona wapi anaongea pumba, anachoongea bungeni bashe kina kua na maslahi ya nchi, shida mkiona mbunge anaikosoa serikali eti amkubali magufuli... Is magufuli the first president in Tz and will he be the last,... For God sake yule nimbunge is not working for magufuli
 
Bashe mtu wa watu,mzalendo,Hayumbishwi na maamuzi ya kokasi
 
Mwenye jibu atupie hapa tafadhali.

View attachment 533308

Matawi yote aliyoyazindua yeye hayana alama yoyote ya CCM bali ni TEAM BASHE...
bashe ni mjenzi wa makundi ya kulinda maslahi ya mabwanyenye. ccm sio mahali pake kwani ccm inajibainisha kama chama cha kulinda na kuendeleza maslahi ya umma. ndio maana kila wakati bashe anahangaika kua na watu wake. hoja za bashe kila mara zinakera wanaccm.
 
Bashe is right. Strong and objective to issues. He is firm and straight forward. Let him be....
 
Mwenye jibu atupie hapa tafadhali.

View attachment 533308

Matawi yote aliyoyazindua yeye hayana alama yoyote ya CCM bali ni TEAM BASHE...
Tena ulitakiwa ushukuru kwakua na mbunge kama Bashe,,ni mtu ambaye hayumbishwi tena ana msimamo,,nadhani ni yeye tu pale kijani ndie mwenye akili,,wengine wote maliangiri
 
Wasemeni vibaya wabunge wrote Ila Lusinde mumuache.


Nikimuona anachangia hoja hata kama nilikuwa naangalia mov ya Mr.Bean nazima mpaka nimsikilize.


Maana huwa anaongeza siku yangu ya kuishi.
 
Kumbe anampinga jamaa!kama hauko huru kimawazo ni vigumu sana kumuelewa Bashe.
 
Sawa mama janeth naona data unazo kbsa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…