Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Ndo maana Amy nakupenda sana bby....
I will always love u the way you do to me...
Yan wewe na Mtei mna majungu mbaya...mnaona nafaidiiiiiiiikaka ndo mana nakwambia zoezi linakushinda...ebu ona ndo unataka umpeleke mdada wa watu kula sa hii...si wajanja watakua wamesha mpa masoseji kibao...saa kumi?
Hahahahaaa utangoja uchoke hutaona tunaachana kamweAmy keshakush2kia kuwa we na BAGAH mna agenda ya siri. Kaa ukijua kuwa hauna chako. Unatafutiwa timing nzuri ya kupgwa chn ili ucje kujnyonga kwa hasira.
Yan wewe na Mtei mna majungu mbaya...mnaona nafaidiiiiiiii
Hahahahaaa utangoja uchoke hutaona tunaachana kamwe
Nshapiga kigele gele
ngoja nikavae dera, hii sketi inaniyima uhondo
lazima tujimwaye mwaye.
tena best man awe uporoto
lazima anywe sumu mwaka huu
mda c mrefu utakuja kujiona kuwa we mjinga.
Nampa Amyner pumzko la kudumu, nahakikisha nazba matundu moyoni mwake pia ntamsahaulisha maumivu yote ya mapenzi.
Hotojutia kuwa nami.
We ulikuwa wap?
mda c mrefu utakuja kujiona kuwa we mjinga.
Nampa Amyner pumzko la kudumu, nahakikisha nazba matundu moyoni mwake pia ntamsahaulisha maumivu yote ya mapenzi.
Hotojutia kuwa nami.
Jamani hizi taraka zinavyotolewa mimi sielewi, sasa nani kambwaga mwenzie
Jamani hizi taraka zinavyotolewa mimi sielewi, sasa nani kambwaga mwenzie
Kuna watu hawajanywa hata chai....km Mtei...BagahHamli?
Hamuendi hata kunyoa kwa ajili ya kesho kazini?
Kuna watu hawajanywa hata chai....km Mtei...Bagah
Mtei mbona unataka kumpa pressure kipenz changu.. He makes me happy, i cant complain about that kwa kweli.. I wouldnt trust a word from ur mouth, umemtaka mpaka bi harusi to be, husny?! We mtei wewe..
Hamli?
Hamuendi hata kunyoa kwa ajili ya kesho kazini?
asee mtei una mashairi niaje?
Nitty mambo
Kuna watu hawajanywa hata chai....km Mtei...Bagah
Teh usikute na Nitonye kidumuUsiniambia hujui ya hapa mtaani?!
Husyn jana kamiminwa na Uporoto live on stage.
Bahati nzuri, kumbe Judgement alikuwa kidumu kiaminifu
ndo kaamua amsitiri kwake, tena kwa ndoa bab kubwa.
Usiniambia hujui ya hapa mtaani?!
Husyn jana kamiminwa na Uporoto live on stage.
Bahati nzuri, kumbe Judgement alikuwa kidumu kiaminifu
ndo kaamua amsitiri kwake, tena kwa ndoa bab kubwa.