Nchi ngumu hii mwache aendelee kupiga mkwara
Huyu sasa ndio Kiboko ya CCM! Wanawake wa Upinzani wanawasumbua sana CCM, ndio maana last time walitumia Jeshi la Magereza kuwadhibiti akina Bulaya na Mdee
Wakina mama oyeeee !!
Una uhakika kuwa CHADEMA ni chaguo la MUNGU!?Umeonaeeeee? Yaani cdm hakika ni chaguo la mungu kuja kuwakomboa watanzania walio teseka kwa muda mrefu.
Sasa hivi wana mama ndiyo wanazidi kuibukia cdm naona westuka kuwepo ccm
Huyo hatekwi anafanyiziwa tuu hana madhara
AaaamenUmeonaeeeee? Yaani cdm hakika ni chaguo la mungu kuja kuwakomboa watanzania walio teseka kwa muda mrefu.
Sasa hivi wana mama ndiyo wanazidi kuibukia cdm naona westuka kuwepo ccm
Wazee wa kuteka utawajua tu. Sera ya kuteka sio sustainable, huwezi kutegemea kuitumia miaka mitano au 10 ijayo.Huyo hatekwi anafanyiziwa tuu hana madhara
Una uhakika kuwa CHADEMA ni chaguo la MUNGU!?