johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,922
- 141,888
Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Husna Mwambiko aliyeshindwa kujieleza kwenye kura za maoni za ubunge anasema anaamini tukio lile halikutokana na kurogwa au uchawi bali ni ajali ya kisiasa.
Husna amesema yeye ana tatizo la kigugumizi na ndio kilichomtokea ila anamshukuru Mungu kila alipotaja CCM hoyeee kigugumizi kilimuachia.
Husna ni mjumbe kutoka mkoa wa Lindi.
Chanzo: Clouds 360
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Husna amesema yeye ana tatizo la kigugumizi na ndio kilichomtokea ila anamshukuru Mungu kila alipotaja CCM hoyeee kigugumizi kilimuachia.
Husna ni mjumbe kutoka mkoa wa Lindi.
Chanzo: Clouds 360
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!