Xuma JF-Expert Member Jul 14, 2010 683 196 Oct 5, 2012 #1 Dada zangu jamani angalieni vizuri mitizamo yenu kuhusu wanaume mnaowataka!!
Mtoboasiri JF-Expert Member Aug 6, 2009 5,101 1,946 Oct 5, 2012 #2 Ni nani alieanzisha ule uzi wa kuuliza kama cheating imehalalishwa?
Nicole JF-Expert Member Sep 7, 2012 4,274 2,514 Oct 5, 2012 #3 wahivyo hawako siku hizi ukitaka mwenye sifa hizo muumbe mwenyewe!
F farkhina Platinum Member Mar 14, 2012 14,568 16,906 Oct 5, 2012 #4 Ciello said: wahivyo hawako siku hizi ukitaka mwenye sifa hizo muumbe mwenyewe! Click to expand... Kabisaaaaa Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Ciello said: wahivyo hawako siku hizi ukitaka mwenye sifa hizo muumbe mwenyewe! Click to expand... Kabisaaaaa Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Mwanahisa JF-Expert Member Jun 29, 2012 1,382 510 Oct 5, 2012 #5 Nunua kajibwa kako pale victoria.... kakifundishe hayo matatizo yako kingali kichanga kikikomaa tu kazi nyingine hapo!
Nunua kajibwa kako pale victoria.... kakifundishe hayo matatizo yako kingali kichanga kikikomaa tu kazi nyingine hapo!
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,656 68,604 Oct 5, 2012 #7 They want real men wkt wao ni fake!
Xuma JF-Expert Member Jul 14, 2010 683 196 Oct 6, 2012 Thread starter #8 King Kong III said: They want real men wkt wao ni fake! Click to expand... We acha tu!