Husband has gone 20 YEARS without speaking to his wife since she upset him

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Mwanaume mmoja(Otou) nchini Japan amefikisha miaka 20 pasipo kuzungumza na mke wake wa ndoa(Katayama Yumi) kwasababu mwanamke huyo alimuudhi.

Hali hiyo imetambuliwa na mtoto wao wa kiume Mwenye umri wa miaka 18 sasa ambaye amekiambia kituo kimoja cha televisheni kuwa hajahi kusikia mazungumzo ya wazazi wake hao zaidi ya kumuona Baba yake akiitikia jambo kwa kichwa tu.

========
Husband has gone 20 YEARS without speaking to his wife since she upset him - but still lives with her and his children.

Otou and Katayama Yumi did not speak for 20 years because he was jealous.

Husband Otou felt that her attention and care was honed entirely on their kids.

Katayama would try and talk to him but only get a grunt or nod in response
Their 18-year-old son wrote to a TV show as he had never heard a conversation.

A meet was arranged in the park where they had their first date - and it worked
Although most couples have experienced a long and awkward period of silence after a row it is unlikely to compare to a husband and wife who have not spoken for two decades - but continue to live with each other.

Otou Katayama, from Nara, southern Japan, continues to live with his three children and wife, Yumi, who perseveres in making conversation with him but has only ever received a nod or a grunt in response for 20 years.

The Japanese couple's silence was revealed by their 18-year-old son Yoshiki, who wrote into a TV show asking them to fix the situation as he had never heard them have a conversation.

Source: Daily Mail
 
Miaka 20 kwa hiyo huyo mtoto alizaliwa kipind ambacho wazazi hawaongei ila mgegedo wanapeana au imekaaje hapo maana mtoto ana miaka 18 tuu
 
Back
Top Bottom