hupendi nini?

unapenda kutongzwa? Pole ndugu yangu, wanawake huwa hawatongozi, labda........................
 
1. uliyotaja yote
2. ubeya/majungu
3.pride a.k.a majisifu
4. ubadhirifu wa wanasiasa
 
Sipendi mtu anayekulalia kwenye daladala au basi la mkoani as if yuko kitandani na kukudondoshea udenda, sipati picha akiwa kitandani sijui inakuwaje!!!!!!!!!
 
sipendi mtu anayejitafuna tafuna kama ng'ombe anapokuwa usingizini
 

Kama vile nimekukubali Jaaa...
 
Sipendi watu wanao iponda Mbeya wakati ndiyo mkoa unao ongoza kwa watu waelewa Tanzania & East Africa.

Near by Mlima nyoka Mbeya.
 
-Sipendi kusubiri chakula!
-Sipendi kusikia mlio wa alarm asubuhi.
-Sipendi pale napolazimika ku'make friendship na adui yangu.
 
Nawapenda kwa kiroho safi wana Jf wote japo siwafaham kisura.

Near by Uhindini Mbeya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…