HelloHaaaa kama wewe ni ke ni pm
wacha kumsingizia mungu kwa tabia na upuuzi wako, mungu hausiki na kumpangia binadam shida wala matatizo, labda mungu wako huyo ndie anapanga, flan ateseke, mwingine ale good life, mwingine aolewe mwingine aendelee kua mchepuko, huyo mungu wa kipuuzi sana uyo, ila nae muabudu mimi hana izo tabia. na anaimiza binadam tufanye kazi tena kwa bidii sana sio mchezo mchezo.
ujui nini?!kupika