VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Sasa wataambulia mishahara ya Mei tu.Zile hundi zilizokuwa zikiandikwa kwa ajili ya kuwashukuru Mawaziri waliotemwa kwa utumishi wao uliotukuka zimechanwa.Hawatazipata tena 'gratuity' zao.Serikali imeshtuka.Imekimbia fedheha. Hatahivyo,nimearifiwa na chanzo changu cha kuaminika kuwa Mawaziri hao watalipwa mafao ya kustaafu nyadhifa zao wizarani.Mambo yaleyale tena. Hapo je ni halali?