NaaamMie nikiingiaga hili jukwaa huwa ule usemi wa "Akili za mwenzio changanya na zako" nau Apply sababu bila hivyo. Mmh
Nakubaliana na wewe kabisaaa. Jukwaa limeharibika kwa sana sasa.
The end 2+2 ni 4. Inawezekana mgeni humu jukwaani umeingia juzijuzi kwa hiyo hujui lilikoanzia na lilipo sasa, mwenye macho haambiwi tazama, unataka mifano! Haya bwana tusiende mbali kasome uzi unasema KWA WALIOWAHI KULALA NA MABEKI 3 WAO TUPENI USHUHUDA,ningekuona una busara na una hekima kama ungesema kwa mifano... lakini hapo naona umebwabwaja tu hujaweka hata uzi mmoja ambao umeona haufai... kuwa great thinker sio tantalila kibao....!!!!
Tuliowahi kukumbushia mpenzi na wapenzi wetu wa zamani tukutane hapa. SASA NENDENI MKASOME COMMENTS NDIYO MTAELEWA NINACHOSEMA.The end 2+2 ni 4. Inawezekana mgeni humu jukwaani umeingia juzijuzi kwa hiyo hujui lilikoanzia na lilipo sasa, mwenye macho haambiwi tazama, unataka mifano! Haya bwana tusiende mbali kasome uzi unasema KWA WALIOWAHI KULALA NA MABEKI 3 WAO TUPENI USHUHUDA,
niambie tatizo la huo uzi... mi naona kuna wanalotaka kujifunza pia... ukiacha hilo mimi sio mgeni angalia profile yako na yangu nahisi utaelewa..!!!The end 2+2 ni 4. Inawezekana mgeni humu jukwaani umeingia juzijuzi kwa hiyo hujui lilikoanzia na lilipo sasa, mwenye macho haambiwi tazama, unataka mifano! Haya bwana tusiende mbali kasome uzi unasema KWA WALIOWAHI KULALA NA MABEKI 3 WAO TUPENI USHUHUDA,
Nenda kwenye hizo nyuzi kasome comments, Mzee profile unabadiliniambie tatizo la huo uzi... mi naona kuna wanalotaka kujifunza pia... ukiacha hilo mimi sio mgeni angalia profile yako na yangu nahisi utaelewa..!!!