Humphrey Polepole, vipi Katiba Mpya huihitaji tena!?

magode

JF-Expert Member
Oct 2, 2014
2,201
3,322
Mkuu Humphrey Polepole tangu tume ya mabadiliko ya katiba ilipovunjwa,ulishupaa sana kwenye media,majukwaa huru na hata kwenye mitandao ya kijamii.

Kila mtu mpenda haki alikusapoti kwa jinsi ulivyokuwa unajenga hoja na kutetea kazi yenu ya tume. Lkn kwa bahati mbaya sana ccm na vibaraka wake iliowateua kwenye bunge la katiba walikupuuza na si kukupuuza tu walikubeza na wengine walikutukana kisayansi na nna amini hata ww unajua km ulitukanwa.

Kwa sasa tupo kwenye kipindi cha uchaguzi mkuu wa nchi yetu. Tumekusikia tena jinsi ulivyoshupaa na Lowassa juu ya ufisadi wake. Kwa hili pia wananchi wamekusikia lkn suala la nani tumchague linabaki vichwani mwetu. Kifupi tumekusikia juu ya utakatifu wako na uchafu wa lowassa.

Me naomba unisaidie na watz wote nadhani wangependa kujua msimamo wako juu ya katiba mpya..! Kuna kitu sikielewi hapa,unaowapigania ndo haohao walioikanyaga rasimu yenu ya katiba.

Km hao walioikanyaga ndo unawashabikia,kelele zako zilikuwa nini wakati ule!!? Au zilikuwa hasira za kukataliwa kuingia ktk bunge la katiba!?? Maana hata babu yako nae tumemuona juzi akikaa meza moja na waliomtukana. Au shida yako ni ukuu wa wilaya??

Najua wewe ni member hapa na unapita kusoma,hebu njoo utusaidie.

Nawasilisha.
 
Last edited by a moderator:
Kwani kila mtu lazima aanzishe uzi humu jamvini...Mbona mnakuwa Malofa hivyo???.Hiki sio kipindi cha KATIBA ni kipindi cha Uchaguzi....Kama kweli nia yako ni suala la katiba na bavicha yenu hiyo mbona Mh.Madili Lowass halizungumzii hili?.Kauli mbiu yake ni kuchukia Umasikini bila kuonyesha anauchukia vipi na kwann hasemi kilichotufanya sisi watanzania kuwa masikini wakati yeye anapata mahela ya kugawa kama Njugu ili alazimeshe white aingie ikulu?.Tuanzie hapo
 
Ana uhuru wa kusema anayojisia na anayoyaona yana maslahi binfsi kwake lakin asitegee atawashawishi watanzania watafuata ushawishi wake maana si kwa maslahi ya nchi
 
Ndg yangu Ile Nadhani Ni Njaa; Kwa Maana Wanapsychology Wanasema Njaa Ikimzidi Mwanadamu Uhacha Kufikiri Kwa Kutumia Ubongo,

Na Kugeukia Tumbo.
 
Kwani kila mtu lazima aanzishe uzi humu jamvini...Mbona mnakuwa Malofa hivyo???.Hiki sio kipindi cha KATIBA ni kipindi cha Uchaguzi....Kama kweli nia yako ni suala la katiba na bavicha yenu hiyo mbona Mh.Madili Lowass halizungumzii hili?.Kauli mbiu yake ni kuchukia Umasikini bila kuonyesha anauchukia vipi na kwann hasemi kilichotufanya sisi watanzania kuwa masikini wakati yeye anapata mahela ya kugawa kama Njugu ili alazimeshe white aingie ikulu?.Tuanzie hapo
Mkuu mbona umepanic!? Umesoma vizuri nilichomwandikia unayemtetea? Kwa kukusaidia chadema na ukawa suala la katiba mpya ndo nguzo kuu ya ilani yetu ya uchaguzi mwaka huu.
 
Mwaka huu lazima mabadiliko yapatikane hata kama kuna watanzania hawataki kukomboka
 
Sasa hata kuanza kumwongelea huyu kiumbe anayeitwa Polepole naona kama napoteza muda wangu! Ninachoweza kusema Kweli njaa ni shetani! Aibu yake Polepole kwa kuwahadaa Watz, ila sasa tunamjua kwa si chochote wala lolote ni njaa tu
 
Kwani kila mtu lazima aanzishe uzi humu jamvini...Mbona mnakuwa Malofa hivyo???.Hiki sio kipindi cha KATIBA ni kipindi cha Uchaguzi....Kama kweli nia yako ni suala la katiba na bavicha yenu hiyo mbona Mh.Madili Lowass halizungumzii hili?.Kauli mbiu yake ni kuchukia Umasikini bila kuonyesha anauchukia vipi na kwann hasemi kilichotufanya sisi watanzania kuwa masikini wakati yeye anapata mahela ya kugawa kama Njugu ili alazimeshe white aingie ikulu?.Tuanzie hapo

Mbona una hasira kaka vipiiii
 
Sasa hata kuanza kumwongelea huyu kiumbe anayeitwa Polepole naona kama napoteza muda wangu! Ninachoweza kusema Kweli njaa ni shetani! Aibu yake Polepole kwa kuwahadaa Watz, ila sasa tunamjua kwa si chochote wala lolote ni njaa tu

Polepole hahitaji kutupotezea muda kumsikiliza. Kimatendo amekwisha itosa rasimu ya Warioba, kwa kuwaunga mkono walioikataa. Hana ujasiri wa hata kuizungumzia.
 
Kwani kila mtu lazima aanzishe uzi humu jamvini...Mbona mnakuwa Malofa hivyo???.Hiki sio kipindi cha KATIBA ni kipindi cha Uchaguzi....Kama kweli nia yako ni suala la katiba na bavicha yenu hiyo mbona Mh.Madili Lowass halizungumzii hili?.Kauli mbiu yake ni kuchukia Umasikini bila kuonyesha anauchukia vipi na kwann hasemi kilichotufanya sisi watanzania kuwa masikini wakati yeye anapata mahela ya kugawa kama Njugu ili alazimeshe white aingie ikulu?.Tuanzie hapo


Wewe utakuwa hamnazo, Isingekuwa Lasimu ya Warioba tungemjua Pole pole? Amapata umaarufu kwa kutetea Rasimu ya Warioba na alikuwa mapovu yanamtoka kuiponda serekali hiihii kwamba imepoteza dira. Leo walewale aliokuwa anawaponda Sitta na Samia na ccm wamekua Alimasi kwake. Waswahili walishasema, aisifuye mvua?...
 
Mkuu Humphrey Polepole tangu tume ya mabadiliko ya katiba ilipovunjwa,ulishupaa sana kwenye media,majukwaa huru na hata kwenye mitandao ya kijamii.

Kila mtu mpenda haki alikusapoti kwa jinsi ulivyokuwa unajenga hoja na kutetea kazi yenu ya tume. Lkn kwa bahati mbaya sana ccm na vibaraka wake iliowateua kwenye bunge la katiba walikupuuza na si kukupuuza tu walikubeza na wengine walikutukana kisayansi na nna amini hata ww unajua km ulitukanwa.

Kwa sasa tupo kwenye kipindi cha uchaguzi mkuu wa nchi yetu. Tumekusikia tena jinsi ulivyoshupaa na Lowassa juu ya ufisadi wake. Kwa hili pia wananchi wamekusikia lkn suala la nani tumchague linabaki vichwani mwetu. Kifupi tumekusikia juu ya utakatifu wako na uchafu wa lowassa.

Me naomba unisaidie na watz wote nadhani wangependa kujua msimamo wako juu ya katiba mpya..! Kuna kitu sikielewi hapa,unaowapigania ndo haohao walioikanyaga rasimu yenu ya katiba.

Km hao walioikanyaga ndo unawashabikia,kelele zako zilikuwa nini wakati ule!!? Au zilikuwa hasira za kukataliwa kuingia ktk bunge la katiba!?? Maana hata babu yako nae tumemuona juzi akikaa meza moja na waliomtukana. Au shida yako ni ukuu wa wilaya??

Najua wewe ni member hapa na unapita kusoma,hebu njoo utusaidie.

Nawasilisha.
[/Ameshapata mgawo wake
 
Last edited by a moderator:
Wewe utakuwa hamnazo, Isingekuwa Lasimu ya Warioba tungemjua Pole pole? Amapata umaarufu kwa kutetea Rasimu ya Warioba na alikuwa mapovu yanamtoka kuiponda serekali hiihii kwamba imepoteza dira. Leo walewale aliokuwa anawaponda Sitta na Samia na ccm wamekua Alimasi kwake. Waswahili walishasema, aisifuye mvua?...
Mkuu ahsante kwa kusaidia,binafsi natamani sana aje hapa atoe msimamo wake juu ya katiba mpya ambayo ndo imemtoa..!
 
Kinachonishangaza ni huyu bwana kudai kutokuridhishwa na hatua ya UKAWA kumkaribisha EL ambaye alikuwa hasapoti rasimu ya Warioba wakati yeye kaikumbatia CCM na JPM ambao wameibwaga rasimu ya Warioba.
 
Back
Top Bottom