GE2025 Humphrey Polepole: Uchaguzi Mkuu 2020 kuna waliotaka fomu moja majimboni, tuliwakatalia

GE2025 Humphrey Polepole: Uchaguzi Mkuu 2020 kuna waliotaka fomu moja majimboni, tuliwakatalia

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Akiongea kupitia Facebook, Humphrey Polepole amesema "Hata wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna watu huko kwenye majimbo yao walianza kutaka baadhi ya majimbo fomu iwe moja lakini tulikataa kwasababu ni utaratibu wa Chama Cha Mapinduzi hauruhusu fomu moja"
amepiga chenga........ kusema mojakwa moja kuwa FOMU MOJA SIO UTAMADUNI WA CCM
 
Samia anaogopa nini,Angeacha tu watu wachukue form ndani ya chama achuane nao......kama anapendwa atapita tu
 
Akiongea kupitia Facebook, Humphrey Polepole amesema "Hata wakati tunaelekea kwenye Uchaguzi wa 2020 kuna watu huko kwenye majimbo yao walianza kutaka baadhi ya majimbo fomu iwe moja lakini tulikataa kwasababu ni utaratibu wa Chama Cha Mapinduzi hauruhusu fomu moja"
Kwenye Urais Je?
 
Samia anaogopa nini,Angeacha tu watu wachukue form ndani ya chama achuane nao......kama anapendwa atapita tu
Wahuni Wahuni Wahuni hawataki iwe hivyo kikundi fulani hakitaki iwe hivyo kile kikundi kinachosema Wachawi wote Wameshakufa hawataki iwe hivyo
 
amepiga chenga........ kusema mojakwa moja kuwa FOMU MOJA SIO UTAMADUNI WA CCM
Sio kitchen party ile kudadek watu wanafanya mambo km wanafanya Send Off namaanisha mkutano mkuu sio Send Off au kitchen party mwanetu anaolewa, zipigwe apite mmoja aliechukua fomu sio kumtoa Mwali mmoja na kusema huyu ndio anaolewa

Mwasi Kitoko kutoka Mwanza aliesababisha mpaka Kikwete akaingia KING huyu

 
Back
Top Bottom