Humphrey Polepole stuka, Jerry Muro anamendea kibarua chako

Humphrey Polepole stuka, Jerry Muro anamendea kibarua chako

CCM hatuwezi kumpa ukatibu mkuu mtu mhuni ambaye hana mke
Mbona Lipumba hana mke wala mtoto lakini anapewa pesa nyingi na CCM tena cash toka Hazina kwa ajili ya kuisadia CCM ipumue na pressure za upinzani, Mtukufu yy huwapenda watu wasio na majukumu ya kifamilia ili wawe na mda mrefu wa kuitumika CCM kwenye nyanja za kudhoofisha Upinzani na kuwakomoa pamoja na kuwabambikia kesi kibao.
 
Ukitaka siri za Group la Bashite kwa ujumla mtafute Le mutuz mnunulie bia kibao kisha mkabidhi kicheche kimchimbe chimbe kwa undani unapata Siri zote mwanzo mwisho, hata siri za Jerry muro nyingi zimevuja kupitia Le mutuz pindi akiwa bar .
 
Na jinsi hawa jamaa walivyomsoma mkata umeme,wanawachikoza tu,mkishaanza kuwatukana na kuwashambulia,mkata umeme anawaona wao ndio wazalendo!Kwa hiyo piga tesa ua,lazima wateuliwe.Yaani kama hujanielewa,ni kwamba watateuliwa ili kuwakomoa watu wamaowashambulia mitandaoni ambao wanahisiwa kuwa eti ni wanachadema!
Kweli Tanzania hii ni ya vi-wonder!
 
Nimekuwa namfuatilia huyo jamaa toka akiwa Mtangazaji, akawa mtuhumiwa, msemaji Wa Yanga Kwa sasa sijui anafanya shughuli gani.Huyu jamaa inaonekana kuna kitu anakitafuta CCM Kwa nguvu zake zote ila Kwa sharti la kujitoa ufahamu Namshauri Siasa anazofanya za kuwataja watu bila ushahidi Wa kutosha zitamletea madhara makubwa. Mdomo wake ulimponza alipokuwa Msemaji Wa Yanga .Pia Namshauri asipende sana kujifanya anajua sana mambo ya watu akumbuke na yake yanajulikana ni suala la muda tu.
 
Huyo sio mtu wa kujadili

njaa inamsumbua tu
 
Nimekuwa namfuatilia huyo jamaa toka akiwa Mtangazaji, akawa mtuhumiwa, msemaji Wa Yanga Kwa sasa sijui anafanya shughuli gani.Huyu jamaa inaonekana kuna kitu anakitafuta CCM Kwa nguvu zake zote ila Kwa sharti la kujitoa ufahamu Namshauri Siasa anazofanya za kuwataja watu bila ushahidi Wa kutosha zitamletea madhara makubwa. Mdomo wake ulimponza alipokuwa Msemaji Wa Yanga .Pia Namshauri asipende sana kujifanya anajua sana mambo ya watu akumbuke na yake yanajulikana ni suala la muda tu.
Za kunyapia eti inasemekana eti Jerry Muro sio jina lake (ni jina la marehem) na inasemekana eti yeye anatokea kanda ya ziwa kwenye kabila kubwa namba moja...

Inasemekana lakini...
 
Mbona Lipumba hana mke wala mtoto lakini anapewa pesa nyingi na CCM tena cash toka Hazina kwa ajili ya kuisadia CCM ipumue na pressure za upinzani, Mtukufu yy huwapenda watu wasio na majukumu ya kifamilia ili wawe na mda mrefu wa kuitumika CCM kwenye nyanja za kudhoofisha Upinzani na kuwakomoa pamoja na kuwabambikia kesi kibao.
Sasa macho kodo anaishije au jogoo hawiki
 
Muro ananjaa sanA na teuzi jamaaa kashateuwa sasa sijui apewe ip
 
Yaani mpaka sasa kama Humphrey pole pole hujajua Jerry muro nini anakitaka basi ni cheo chako cha itikadi na uenezi Kama umeona uteuzi wa Juliana shonza Leo basi utakuwa umepata picha halisi kwamba ili Uteuliwe serikalini basi lazima uamshe dude kwa upinzani.

Sasa jerry muro ameshalijua hilo na ameanza rasmi safari ya Kutaka cheo chako Leo hii baada ya kuitisha ile press.

Sasa wee endelea kumuangalia akitekeleza majukumu ambayo chama chenu wanahitaji ufanye wewe Kama utabaki salama maana jiulize anapata ujasili wa kujiweka kifua mbele kwenye mambo ya kujibizana na upinzani? Muro anaitaka nafasi

Humphrey, nakwambia tena muro anataka ugali wako. Yaaani ume hustle kwenye harakati ukapata shavu alafu Leo hii mtu anakuingilia.
Akili ya nyumbu imeishia hapa....kesho sijui watakuja na hoja gani ya kijinga!
 
Wanajuaje kama Juliana ni shushushu wa chadema. Be careful ccm.
Ogopeni pia huyo Muro anayetafuta cheo kwa nguvu kwa nguvu kwa kugombana na ndugu yake.
Inaonekana kama vile anacheza drama fulani siyo kitu halisia.
Mwogope mtu kama Jerry Muro. Mpaka anatokea kwenye press akionyesha mafanikio yake. Nani alimwuliza? Anayajua mafanikio yetu wapiga kura? Mlevi sana yule. Tunamfahamu.
Mtu anaanza kuandama watu out of the blues.
Mwambieni nafasi zimekwisha asubiri mwaka ujao. Pole zake.
Kwanza mtu wa kili nani atakupa.
 
Kweli aiseee! Wewe nawe ni msomi pamoja na kuwa hujakamata madaea ya kulevya. Ukikamata tinakupa phd
 
Back
Top Bottom