amos eglan
JF-Expert Member
- Sep 27, 2015
- 310
- 464
Yaani mpaka sasa kama Humphrey pole pole hujajua Jerry muro nini anakitaka basi ni cheo chako cha itikadi na uenezi Kama umeona uteuzi wa Juliana shonza Leo basi utakuwa umepata picha halisi kwamba ili Uteuliwe serikalini basi lazima uamshe dude kwa upinzani.
Sasa jerry muro ameshalijua hilo na ameanza rasmi safari ya Kutaka cheo chako Leo hii baada ya kuitisha ile press.
Sasa wee endelea kumuangalia akitekeleza majukumu ambayo chama chenu wanahitaji ufanye wewe Kama utabaki salama maana jiulize anapata ujasili wa kujiweka kifua mbele kwenye mambo ya kujibizana na upinzani? Muro anaitaka nafasi
Humphrey, nakwambia tena muro anataka ugali wako. Yaaani ume hustle kwenye harakati ukapata shavu alafu Leo hii mtu anakuingilia.
Sasa jerry muro ameshalijua hilo na ameanza rasmi safari ya Kutaka cheo chako Leo hii baada ya kuitisha ile press.
Sasa wee endelea kumuangalia akitekeleza majukumu ambayo chama chenu wanahitaji ufanye wewe Kama utabaki salama maana jiulize anapata ujasili wa kujiweka kifua mbele kwenye mambo ya kujibizana na upinzani? Muro anaitaka nafasi
Humphrey, nakwambia tena muro anataka ugali wako. Yaaani ume hustle kwenye harakati ukapata shavu alafu Leo hii mtu anakuingilia.