Hayo ni mawazo yako! Kama una ushahidi wa jambo unalolizungumza, mwaga hapa kama great thinker, vinginevyo watakuita mtu mwenye MAJUNGU!unampongeza mtu ambaye amenunuliwa kwa pesa kiduchu kweli kukiuka kiapo alichokula wakati anaapishwa kuwa mjumbe wa tume ya WARYOBA cha kutojiingiza kwenye siasa? huyu hana tofauti na YUDA
yaaap!!! wataelewa tu. yaani pole pole!!
Na sasa kapewa madaraka daaa watu walimwamini ila ccm wakamtwaa kama kipanga.unampongeza mtu ambaye amenunuliwa kwa pesa kiduchu kweli kukiuka kiapo alichokula wakati anaapishwa kuwa mjumbe wa tume ya WARYOBA cha kutojiingiza kwenye siasa? huyu hana tofauti na YUDA