Polepole ni kati ya wale vijana ambao walifikiri wana nguvu kuliko walionayo. Sasa amefikia wakati eti wa kutoa elimu ya uongozi!! Elimu gani ya uongozi?
1. Kwenye tume ya katiba kwanza alienda kama watu wa NGOs ambao wanasubiri pesa za misaada ya nchi nyingine. Hakuna uongozi wa maana utapata hapa zaidi ya mission za kupata pesa na kuandika maombi ya pesa kwa nchi za magharibi
2. Ukuu wa wilaya hakuna cha kuonyesha
3. Katibu uenezi ndiyo wa kununua wapinzani hakuna la maana la kuonyesha na ndiyo maana Rais Samia alimtoa.
4. Yaani walikuwa wanataka Magufuli awe dikteta kama Rais wa China mpaka pesa za chuo cha siasa za kichina waliomba.
Leo hii eti anatoa elimu za demokrasia 😂
Ukweli ni kwamba Polepole ana njaa kali na kama kweli ana nia njema basi aache ubunge na kuwa mwanaharakati kama Ulimwengu. Lakini ili watu wamwamini aache kuwa kinyonga kila siku na kubasilisha maneno.
1. Kwenye tume ya katiba kwanza alienda kama watu wa NGOs ambao wanasubiri pesa za misaada ya nchi nyingine. Hakuna uongozi wa maana utapata hapa zaidi ya mission za kupata pesa na kuandika maombi ya pesa kwa nchi za magharibi
2. Ukuu wa wilaya hakuna cha kuonyesha
3. Katibu uenezi ndiyo wa kununua wapinzani hakuna la maana la kuonyesha na ndiyo maana Rais Samia alimtoa.
4. Yaani walikuwa wanataka Magufuli awe dikteta kama Rais wa China mpaka pesa za chuo cha siasa za kichina waliomba.
Leo hii eti anatoa elimu za demokrasia 😂
Ukweli ni kwamba Polepole ana njaa kali na kama kweli ana nia njema basi aache ubunge na kuwa mwanaharakati kama Ulimwengu. Lakini ili watu wamwamini aache kuwa kinyonga kila siku na kubasilisha maneno.