Ukitaka kujua tabia ya mke, mjaze manoti.Huyu Mweshimiwa alishawahi kusema uchaguzi ukiwa wa huru na wa haki CCM ijiandae kukabidhi Madaraka! inamaana hapa Nchi hakuna uchaguzi wa huru na haki?
Sijaelewa Siasa zetu zipoje? Tizame video hiyo fupi ambayo ilisambazwa sana kipindi cha uchaguzi 2015
Lema anaingiaje kwenye huu uzi?Wakina Lema wangekabidhiwa nchi hii (wenyewe wanaiita nji)watanzania tungeuzwa mnadani mchana kweupee!! Mimi hata sioni sababu ya tume huru ya uchaguzi mpaka wapatikane wapinzani wastaarabu.
Unataka wapinzani wastaarabu ili uendelee kupata hizo buku bukueeWakina Lema wangekabidhiwa nchi hii (wenyewe wanaiita nji)watanzania tungeuzwa mnadani mchana kweupee!! Mimi hata sioni sababu ya tume huru ya uchaguzi mpaka wapatikane wapinzani wastaarabu.
Tuheshimiane bwana mimi sio lizaboni.Unataka wapinzani wastaarabu ili uendelee kupata hizo buku bukuee
Uchaguzi ukiwa wa huru na haki CCM wajiandae kuondoka madarakani Katibu mwenezi wa CCM Pole pole ni maoni yako kuhusiana kauli hiyo?Polepole hana tofauti na waliosema ni heshima kwa Mungu kumzomea fisadi Lowasa