Humphey Polepole ni badiliko kubwa CCM

Humphey Polepole ni badiliko kubwa CCM

galaw

Member
Joined
Oct 1, 2016
Posts
13
Reaction score
29
Ndugu Watanzania,

Kufuatia kuteuliwa kwa bwana Polepole ktk nafasi ya katibu wa Itikadi na Uenezi ccm taifa ni kukalibisha mabadiliko mengine ndani ya ccm kwa hoja zifatazo,

1. Polepole ni mtu mwenye kufanya tathimini pana ya mambo kabla ya kuyasema na kuamua. Ni mtu mwenye kusema kile kinachoaminika ni sahihi pasipo kujali atawafurahisha au kuwachukiza akina nani. Ni mtu mwenye fact kuliko porojo ukilinganisha na mtangulizi wake ktk nafas hiyo.

2. Polepole ni mtu ambae hakuwa ktk siasa za makundi ndani ya ccm hvy anapata nafas hii km mtu huru yani asiyeegemea kundi lolote ukilinganisha na wana ccm wengi waliokuwa wakijiendesha kwa makundi ndani ya chama kimoja. Hivyo ataisimamia na kuisemea ccm badala ya kuwasemea watu fulani km ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.

3. Polepole ni mtu anaendana kimtazamo na mwenyekiti wa ccm taifa hvy hii ni nguzo mhmu kwao kupika chakula kinachohitajika na walaji tofauti na zamani walaji walilazimishwa kula chakula wasichokita kwani wapishi ndiyo walioamua nini cha kupika pasipo kuangalia mahitaji ya walaji.

Kiujumla Polepole ataleta mageuzi makubwa sana hasa namna ya kuwasilisha hoja za chama na utetezi wa chama kwa umma kwani mantiki kwa polepole ni mhimu sana kuliko polojo. Hivyo tunategemea atawabadilisha pakubwa sana namna ya kutetea hoja za chama. Chama lazma kijijitetee kwa kutimiza wajibu wake kwa wanachama na serikali yake. Japo changamoto kubwa kwa Polepole ni namna mazingira ya siasa yalivyo kwa sasa.
 
Ndugu Watanzani.
Kufatia kuteuliwa kwa bwana Polepole ktk nafasi ya katibu wa Itikadi na Uenezi ccm taifa ni kukalibisha mabadiliko mengine ndani ya ccm kwa hoja zifatazo,

1. Polepole ni mtu mwenye kufanya tathimini pana ya mambo kabla ya kuyasema na kuamua. Ni mtu mwenye kusema kile kinachoaminika ni sahihi pasipo kujali atawafurahisha au kuwachukiza akina nani. Ni mtu mwenye fact kuliko porojo ukilinganisha na mtangulizi wake ktk nafas hiyo.

2. Polepole ni mtu ambae hakuwa ktk siasa za makundi ndani ya ccm hvy anapata nafas hii km mtu huru yani asiyeegemea kundi lolote ukilinganisha na wana ccm wengi waliokuwa wakijiendesha kwa makundi ndani ya chama kimoja. Hivyo ataisimamia na kuisemea ccm badala ya kuwasemea watu fulani km ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.

3. Polepole ni mtu anaendana kimtazamo na mwenyekiti wa ccm taifa hvy hii ni nguzo mhmu kwao kupika chakula kinachohitajika na walaji tofauti na zamani walaji walilazimishwa kula chakula wasichokita kwani wapishi ndiyo walioamua nini cha kupika pasipo kuangalia mahitaji ya walaji.

Kiujumla Polepole ataleta mageuzi makubwa sana hasa namna ya kuwasilisha hoja za chama na utetezi wa chama kwa umma kwani mantiki kwa polepole ni mhimu sana kuliko polojo. Hivyo tunategemea atawabadilisha pakubwa sana namna ya kutetea hoja za chama. Chama lazma kijijitetee kwa kutimiza wajibu wake kwa wanachama na serikali yake. Japo changamoto kubwa kwa Polepole ni namna mazingira ya siasa yalivyo kwa sasa.
Ila ukuu wa Mkoa viatu vingemtosha kabisa yupo njema sana ana busara na kahekma ndani yake
 
Polepole ni mtu mnafiki na asieaminika hata kidogo, ni mtu anaejipenda pekee, na anaependa mawazo yake ndiyo ya onekane mazuri mbele ya jamii.

ni mtu ambae anaweza kukuuwa wakati anacheka na wewe, ni mtu anaetumia uwelewa mdogo wa watu kwa manufaa yake.

ni mtu asiekuwa na msimamo na mara nyingi huwa hajui anasimamia nini ila yeye cha muhimu huwa ni tumbo lake.
Wana Jf nafikili mnakumbuka kwa jinsi alivyotuaminisha kuwa chama cha ccm ni kibaya kwa sababu kimekataa kutoa katiba nzuri na badala yake kimeleta katiba mbaya lkn wakati huohuo wakati wa kampeni akawa mstali wa mbele kutuaminisha kuwa ccm ni chama bora na kinafaa kuongoza
.
Ni yeye aliyekua anatetea hoja na kusema kuwa hataki ukuu wa wilaya na ni vyeo ambavyo vinatakiwa kufutwa lkn alipopewa wala hakukataa bali alikubali na sasa wala husikii akizungumzia rasimu ya katiba ya waryoba aliyotuaminisha kuwa ataipigania hadi mwisho wa maisha yake.

Ni mtu anaejijali yeye na familia yake, kwahiyo aliipinga rasimu ya katiba mpya si kutoka moyoni bali ni baada ya kubaini mawazo yake mengi yaliondolewa ambayo yangemfanya aonekane shujaa

Je wakati wa kura ya maoni atakua upande gani? Magufuri amemtega ili unafiki wake ujulikane kwa watu, ndipo ule msemo maarufu wa fisi wa ZINAYEYUKA utatimia
 
Hivi ile ukuu wa wilaya aliokuwa anapondea ilikuwaje? Kweli mchawi mpe mwanao akulelee! Ila pole pole naona wamempa na wajukuu kabisa..
 
Wala usisahau ongeza na kale ka msemo ka ccm kwamba ni chaguo la mungu

Ndugu Watanzani.
Kufatia kuteuliwa kwa bwana Polepole ktk nafasi ya katibu wa Itikadi na Uenezi ccm taifa ni kukalibisha mabadiliko mengine ndani ya ccm kwa hoja zifatazo,

1. Polepole ni mtu mwenye kufanya tathimini pana ya mambo kabla ya kuyasema na kuamua. Ni mtu mwenye kusema kile kinachoaminika ni sahihi pasipo kujali atawafurahisha au kuwachukiza akina nani. Ni mtu mwenye fact kuliko porojo ukilinganisha na mtangulizi wake ktk nafas hiyo.

2. Polepole ni mtu ambae hakuwa ktk siasa za makundi ndani ya ccm hvy anapata nafas hii km mtu huru yani asiyeegemea kundi lolote ukilinganisha na wana ccm wengi waliokuwa wakijiendesha kwa makundi ndani ya chama kimoja. Hivyo ataisimamia na kuisemea ccm badala ya kuwasemea watu fulani km ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.

3. Polepole ni mtu anaendana kimtazamo na mwenyekiti wa ccm taifa hvy hii ni nguzo mhmu kwao kupika chakula kinachohitajika na walaji tofauti na zamani walaji walilazimishwa kula chakula wasichokita kwani wapishi ndiyo walioamua nini cha kupika pasipo kuangalia mahitaji ya walaji.

Kiujumla Polepole ataleta mageuzi makubwa sana hasa namna ya kuwasilisha hoja za chama na utetezi wa chama kwa umma kwani mantiki kwa polepole ni mhimu sana kuliko polojo. Hivyo tunategemea atawabadilisha pakubwa sana namna ya kutetea hoja za chama. Chama lazma kijijitetee kwa kutimiza wajibu wake kwa wanachama na serikali yake. Japo changamoto kubwa kwa Polepole ni namna mazingira ya siasa yalivyo kwa sasa.
 
kinachofanyika ni kutoa kilimanjaro bia na kuiweka kwenye chupa ya safari alafu utegemee kupata ladha ya bia ya safari
 
1. Polepole ni mtu mwenye kufanya tathimini pana ya mambo kabla ya kuyasema na kuamua. Ni mtu mwenye kusema kile kinachoaminika ni sahihi pasipo kujali atawafurahisha au kuwachukiza akina nani. Ni mtu mwenye fact kuliko porojo ukilinganisha na mtangulizi wake ktk nafas hiyo.
Kama msemaji wa chama hatakuwa akisema maneno yake bali chama kitamtuma aseme nini!!
 
Haya Humphrey Polepole...

Jipigie debe ila bila Katiba ya Wananchi milele utaonekana MNAFIKI na MWENYE NJAA KALI.
Kupata katiba nzuri si mwarobaini wa unacho amini hakiko sawa!

With reference kwa jirani zetu KENYA wamepata katiba waliyokuwa wanaihitaji cha kiasi kikubwa but ufisadi bhado ni donda dugu kwao!!
 
Back
Top Bottom