emanuel kiduvilo
Senior Member
- Aug 5, 2014
- 165
- 20
Gar ni make ya 2007 na.mpk.sasa.imetembea.km 89000 na.inatumia.petrol,kama unahitaj unaweza.nicheck hapa 0768359292 bei mil 95 bt.maongez yapo
vp nitapata I.S.T,VITZ, au PASSO KWA BAJETI YA 4 MILLION......?? MOJA KATI YA GARI IZO HAPO JUU
Hammer kwa m95 wakati mimi hata bike imenishinda kununua!!!!!!!
Mkuu kuna mdogo wangu huwa hii gari inaamuuzia kichwa,maana kama angekuwa na nyumba yake sio ya urithi basi.Kuna watu wana hobby. Hii gari hata bure usinipe.
Bila shaka unashauri liongezwe jukwaa la 'matangazo makubwa-makubwa'Mambo mengine ni ya kiuchochezi.hivi munadhani walala hoi ambao tuko wengi tunafurahi na hizi mambo zenu za magari ya bei ya kufa mtu.....Kwa nini matangazo kama hayo yasipelekwe maeneo ya Masaki .......na wenye pesa zao huku JF hawako....huku tuko watu vitz..carina...rav4..nk hayo ma hammer huku hatuyawezi