Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,288
- 123,766
Yap magari mbona ni viumbe visivyo hai kwani hilo linakupa shida gani kulijua??Naona unaleta maana dhaifu ya kisayansi hasa biology.
Hapa kabla sijafika mbali. Hivi ukimuuliza mtu wa sayansi ya viumbe. Tofali ataliweka katika kundi gani ?
Hakuna kiumbe ambacho si hai na huu ndio usahihi.
Lakini ajabu mgawanyo wako hata lugha inaukataa. Hivi kuna lugha yoyote inayotambua magari,kiatu na mfano wake kama kiumbe ?
Nipo ....
Sifa za viumbe visivyo hai inamaana huzijui?? Mifano ya viumbe visivyo hai nayo huijui unajua habari za madrsa tu
Nukikwambia gari lipo kundi gani kati ya living things au non living things utanijibu kua gari halipo kwenye kundi lolote kati ya hayo mawili????
Swali langu ni je Mungu wako yuko kwenye kundi lipi kati ya hayo mawili?
Sent using unknown device