hukumu ya wizi

tobycow

Senior Member
Apr 12, 2011
129
13
kuna wezi 3 walikamatwa kwa wizi wa matunda kwenye mashamba ya watu.walipofikishwa mahakamani,hakimu akaamuru kila mwizi a.i.n.g.i.zi.w.e matunda ambayo ameiba.basi john ambaye alikuwa mwizi wa maepo akaanza kucheka.jaji alipomuuliza kwanini anacheka.akajibu namcheka huyo aliyeiba fenesi
 
kuna wezi 3 walikamatwa kwa wizi wa matunda kwenye mashamba ya watu.walipofikishwa mahakamani,hakimu akaamuru kila mwizi a.i.n.g.i.zi.w.e matunda ambayo ameiba.basi john ambaye alikuwa mwizi wa maepo akaanza kucheka.jaji alipomuuliza kwanini anacheka.akajibu namcheka huyo aliyeiba fenesi

Utani huu unafaa kuwa kwenye utani wa sehemu za ulevi kama vile baa au grosari Haupendezi hapa Jf kwa 'great thinkers' in other words it is a dirty joke!
 
Back
Top Bottom