tobycow
Senior Member
- Apr 12, 2011
- 129
- 13
kuna wezi 3 walikamatwa kwa wizi wa matunda kwenye mashamba ya watu.walipofikishwa mahakamani,hakimu akaamuru kila mwizi a.i.n.g.i.zi.w.e matunda ambayo ameiba.basi john ambaye alikuwa mwizi wa maepo akaanza kucheka.jaji alipomuuliza kwanini anacheka.akajibu namcheka huyo aliyeiba fenesi