Hukumu ya serukamba

Hukumu ya serukamba

Nchi ya magumashi.

Speaker ana pwaya sana,Naibu spika anapwaya zaidi

Mwanasheria Mkuu anapwaya hadi aibu

Waziri Mkuu anapwaya na bingwa kusema uongo hata akiwa ndani ya Bunge,nae anapwaya

Rais nae ndio usiseme anaogopa matukio mazito kuyatolea maamuzi!akiona anazidiwa anasafiri,akirudi upepo umetulia,anasubiri mwisho mwezi anahutubia akiwa analalamika bila kuchukua hatua stahiki!...Rais alienunua madaraka kwa mipesa kibao ya EPA
 
Tufikie mahali tuone aibu kuwa waoga wa kukemea uonevu huu unaofanywa na wabunge wa ccm wwakiongozwa na spika wao.mimi nashangaa pale mbunge wa ccm anaposimama anarudia maneno yale yale,WANANCHI WANATUONA..je huwa wanafikiri wananchi tumelala au wanataka huruma toka vijijini?
 
bunge limekosa spika mkuu, magumashi sana...huwezi sema mtu aliyetukana F*K kasamehewa kwa vile katambua kosa lake: swali linabaki je, inamaana alikuwa hajui kutukana hivyo ni kosa? kuna shida kubwa naiona kwa kiti cha spika; angekuwa anachukua akili za kuambiwa anachanganya na zake, kidogo ingesaidia: shida kubwa ni kwamba sasa hivi anatumia tu akili za kuambiwa.. sijui labda hana za kuchanganyia

Ndo hivyo ndugu yangu mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, wao wapo wengi na CHADEMA wanawanachi wanashuhudia yote haya
 
Mwacheni sisi huku Kigoma tumeshaandaa adhabu kwa ajili yake.Wahaa tuna utamaduni wa Maadili pamoja na kuheshimu watu wengine.Hatuko tayari kuona mwakilishi wetu akitumia lugha za Matusi ya nguoni dhidi ya watu Wengine.Alichofanya Serukamba kimetufedheesha sana mbele ya jamii ya Watanzania na hilo lichukuliwe kama ni tamko lake kwani hatujamtuma kufanya hivyo.

Sasa amekufedheeshsje kams hujamtuma?
 
Sasa amekufedheeshsje kams hujamtuma?
Amefanya kinyume na Matarajio yetu.Sisi tulimtuma aiulize Serikali ni lini Kigoma itakuwa na Viwanda kwa ajili ya Migebuka na mawese ili tuwache kusafirisha Mazao hayo yakiwa ghafi.
 
Kuna orodhaa ya viongozi waandamizi wa ccm huwa wanatukana mara kwa mara hasa ukifatilizia midomo yako sema Mic huwa ziko off.

1.LUKUVI
2.AG
3.WASSIRA.
4.LUSINDE
5.MWIGU
6.NKAMIA
7.KOMBA
8.MANYANYA
9.KILANGO
10.RAGE
11.ADAMU.M
12.
13
14
15
16
17
18
19
20
21
22
23
24
25
26
27
28
29
30


WAFATAO NI WABUNGE WA CDM
1.
2.
3.
4.
4.

WAFATAO NCCR MAGEUZI
1.
2.
3.

WAFATAO CUF
1.
2.
3.
JARIBU KUFATILA WAKIWA WANACHANGIA AMA KUOMBA MUONGOZO WAKABEZWA THEN ANGALIA MIDOMO YAO VIZURI HASA UKIWA NA UWEZO KULUDOVIC VIDEO
 
Mımı nataka kuuliza nini hatma ya huyu muhuni Peter Serukamba sababu nashindwa hata kumwita mweshimiwa sababu ya maneno machafu ya kulizalilisha bunge na nchi kwa ujumla.sijui sheria naomba muongozo, kama kuna kila ushaidi mpaka wa video inayo onyesha na kusika serukamba akitoa maneno ambayo kwamtu wakawaida hawezi kuyatamka na akijua kwamba posho anazozipata zinatoka kwenye kodi za watanzania na nanafasi alıyoipata imetokana na watanzaia.sasa kama uwenda spika hakuweza kuyasikia maneno yale wakati serukamba anayatoa au hakuweza kutafakari na kupajibu la haraka sababu ni lugha ya kigeneni alitumia.naamini kwa sasa analojibu sahihi ya neno alilotamka Serukamba,Je kulingana na ushaidi uliopo katika clip na malalamiko ya wananchi kupitia vyombo vya habari mbalimbali ni jukumu gani spika anastaili kulichua kwa Serukamba ili kesho hasiweze kutamka maneno machafu kama haya,kama hakuna hiyo sheria ya kumuhukumu sababu bunge lilishapita ni kwanini spika asitumie madaraka yake kwa kumuhukumu huyu muhuni na kuingiza hiyo sheria katika kumbukumbuku za bunge ili iweze kuendelea kutumika kama Naibu spika alivyoweza kutumia cheo chake kuwaukumu wabunge wachadema kwakutumia sheria ambayo haipo katika vitabu vya bunge.
Je! chama chake anachotoka wamechukua atua gani kwa huyu mbunge wao sababu na amini katika chama chake lazima kutakuwa na kamati ya maadili, je kamati hiyo inampango gani kuwaonyesha watanzania kuwa huyu serukamba kakosa na tumemwazibu kwastaili hii ili kesho hasiweze kurudia kosa ilo na kuonyesha kuwa ccm si mahali pawauni kama watu wanavyo isi sasa kutokana na maneno yaliyo tamkwa na serukamba,katika maadili ya mtanzania mtu yoyote mwenye umri unao karibiana au sawa na baba yake basi mtu huyu unapaswa kumweshimu kama baba yako na heshima sikuzote inaendana na woga.nataka kusema Serukamba ndani ya bunge kuna wazee ambao wanaumri sawa na wazazi wake na waliyokuwa akiangalia kipindi cha kupitia TV wengine wana umri zaidi ya wazazi wake je wametendewa haki.pili bunge haliangaliwi na wazee tu hata vijana wa secondary,chuo,primary je kawa fundisha nini vijana wetu,İna maana huyu mtu hasipokanywa mapema kesho ata mrukia mtu kichwa ndani ya bunge na hatokuwa na makosa sababu alikosa msaada wakukanywa mapema kujua lipi baya na lipi zuri.CCCM RUDİSHENİ İMANİ KWA WATANZANİA HASA KATİKA MAADİLİ HUYU MBUNGE ANAPASWA KUPEWA HAZABU KALİ KUTOKA KATIKA CHAMA CHAKE NA SPİKA PIYA.SABABU SPIKA ANAYO NAFASI YA KUTOA UKUMU HATA KAMA HAIMO KATIKA KANUNI ZA BUNGE.NAMSHUKURU NDUNGAI KUTUONYESHA INAWEZEKANA KUFANYA HIVYO SASA NI WAKATI WA SPIKA KUFATA NYAYO ZA NDUNGAI ILI AWEZE KUTOA AZABU KALI KWA SERUKAMBA. kwa muono wangu takukuru fatilieni ushindi wake wakıti cha ubunge inaonyesha zairi hawa ndio wanao tumia mabavu ya pesa zao kupata ubunge na ndiyo maana hawaogopi,hawaeshimu kwakujua kwamba kinacho mwingiza madarakani si mwananchi bali ni pesa zake.USHAURI KWA SERUKAMBA KAMA MTAZANIA MWENZANGU ITISHA MKUTANO NA WAANDİSHI WA HABARI OMBA MSAMAHA KWA WATANZANIA PILI NENDA JIMBONI KWAKO KAOMBE MSAMAHA.NAAMINI WATANZANIA WATAKUELA SABABU MTOTO NI MTOTO TU ATA AKIKOSA AKIOMBA MSAMAHA TUNAAMINI HATA YEYE AKUFURAHISHA NA TUKIO ILO KWAHIYO HALITA JIRUDIA.
Babaanjela
Bado una homework nyingi za kufanya kujua ni kwanini kiongozi wa kitaifa kama serukamba peter anaweza kuwatukana watz tusi lile na bado naibu spika job ndugai kabaki kimya kama zuzu tu. Ni aibu kwa bunge, raisi na ni aibu kwetu sote wananchi wa watz. Mambo haya hayatokei bila sababu, kila jambo hutokea kwa makusudi yake. Baadhi ya wanaCCM wamekuwa na kiburi kiasi kwamba unafikiri wako juu ya sheria na madaraka yote thus why Peter Serukamba anaweza kutukana bunge bila wasiwasi wowote kisa yeye ni mbunge wa chama tawala. Mungu si john au athmani kwa kiburi na jeuri ya baadhi ya viongozi wa ccm au serikali mungu ataendelea kuwaumbua kwa kuonesha tabia zao chafu na katiri ili watz wajionee wenyewe na mwisho watakatiwa na kutemwa kama bigijii! Kiburi umeondolea mtu hekima na busara, kiburi uondoa weledi na maarifa, kiburi uondoa kumbukumbu za mambo muhimu kwa taifa. Kwa kiburi cha madaraka na matumizi ya raslimali za umma watz watazidi kushuhudia vituko na maudhi kutoka baadhi ya viongozi wa ccm na serikali yake kwa wanajari au kumhofia nani? Tafakari.......
 
Last edited by a moderator:
mleta mada(Baba Anjela..)
Mimi naona kabla ya SERUKAMBA TUANZE NA MEMBE ALIYESEMA ANA MAADUI 11 TISA WANASIASA NA WAWILI WAANDSHI WA HABARI AMBAO ATAWPGA KWA MKONO WAKE NA KUWAPELEKA UHAMISHONI KENYA TENA ALIONGEA LIVE ITV KWENYE KIPINDI CHA DAKIKA 45 KWANZA ANATAKIWA AOMBE RADHI NA AJIUZULU KWAN HANA SIFA ATA ZA KUWA DIWANI...PILI AFUATIWE NA NKAMIA ALIYETUKANA NA KUKATAA KUOMBA RADHI...KWA TAARFA TU LABDA UPO KIJIJINI UFATILII BUNGE SERUKAMBA ALIOMBA RADHI SKU ILEILE....PIA EPUKA KUTUMIWA KISIASA
 
Ukizngatia hali inayotokea sasa kwa waandshi wa habar na kauli za membe ni rahsi kumhusisha huyu mtu na haya
 
kaka kuna kitu chakuomba msamaha papokwapo ukapata msamaha na kuna kosa ambalo linaitaji kukanywa hata kama umeomba msamaha,mfano mwanao anakutukana ilo tusi alafu anakuomba msamaha je utapitisha msamaha papokwapapo na kumwambia muendelee na maongezi au utachukua atua sahihi ya kumkanya iwe ni kiboko au maneno yanayo endana na maumivu ya kiboko.
 
Tufikie mahali tuone aibu kuwa waoga wa kukemea uonevu huu unaofanywa na wabunge wa ccm wwakiongozwa na spika wao.mimi nashangaa pale mbunge wa ccm anaposimama anarudia maneno yale yale,WANANCHI WANATUONA..je huwa wanafikiri wananchi tumelala au wanataka huruma toka vijijini?


kweli kabisa mkuu
 
Nchi ya magumashi.

Speaker ana pwaya sana,Naibu spika anapwaya zaidi

Mwanasheria Mkuu anapwaya hadi aibu

Waziri Mkuu anapwaya na bingwa kusema uongo hata akiwa ndani ya Bunge,nae anapwaya

Rais nae ndio usiseme anaogopa matukio mazito kuyatolea maamuzi!akiona anazidiwa anasafiri,akirudi upepo umetulia,anasubiri mwisho mwezi anahutubia akiwa analalamika bila kuchukua hatua stahiki!...Rais alienunua madaraka kwa mipesa kibao ya EPA


magumashi sana mkuu
 
Back
Top Bottom