Hukumu ya Mdude Nyagali hatma ni leo

Huyu mtu asokuwa na madili mnasema nae alionewa, mwacheni avune alicho panada kama mahakama itamwachia huru basi ni vema ila kama atakuwa na hatia ni vema pia maana kila mtu atavuna alicho panda.
Ahsante Ila utavuna wewe na wauwaji wenzio
 
Akifanikuwa kutoka aache matusi.....
au CDM hakuna kamati za maadili za chama...!?
manake mkiendekeza matusi mtatufanya tusiwaanini kama ni chama madhubuti
 
Huyu mtu asokuwa na madili mnasema nae alionewa, mwacheni avune alicho panada kama mahakama itamwachia huru basi ni vema ila kama atakuwa na hatia ni vema pia maana kila mtu atavuna alicho panda.
Huyo ni Mfungwa wa Kisiasa namba moja Tanzania.
 
mwachen afungwe, mlivyoshabikia sabaya kuwekwa ndan mkazan mazur??? kumbe na ninyi mnaumiaga eeh?? alafu huyo mdude mwnyewe hana akili kabisa, yaan mambo aliyokuwa akipinga hata hana uwezo nayo, kuanzia elimu, mpka nguvu za kuwa handle watu wenye nguvu serkalin, tofaut na wenzake wakina maria sarungi, fatuma karume, kigogo, zito kabwe, yaan huyo bwege alkuwa akifuata mkumbo tuu na uku n masikini choka mbaya, acha akanyee debe , siku nyingne ajifunze kuheshimu mamraka, ama kutoshindana na dora, pumbv kabisa fuungaaa huyo pimbi.....

ona wanachedomo watakavyonivamia kwa hasira awooo.....hata mtu umuombee ni kazi buree msijichoshe, Mungu asikiliza maomb yakipumbav kama hayo.....ndy hivyo hakuna kinachobadirka
 
Huyu jamaa anaweza kupigwa Mvua kwa sababu Kuu 2;

Mosi,Katika utetezi wake lazima kuweka shaka kuhusu namna alivyokamata na 20.4 gm za madawa ya kulevya hata kama hatumii, alipaswa kuonyesha mashaka/reasonable doubts jinsi gani hizo grams zilifika mikononi mwake,

Pili, katika utetezi wake ukishindwa kuonyesha mashaka ya search warrant hassa kwenye kipengele cha muda wa kufanya searching na uwepo wa Mwenyekiti wa Mtaa katika makazi yake. Criminla Procedure inasema kuwa muda wa kufanya upekuzi usizidi saa 1jioni na Mwisho, Mdude alipaswa kusema kuwa yeye hakuwapekua polisi kabla hawajaingia nyumbani kwake kama sheria inavyosema na alipaswa kusaini certificate of seizures kwamba hawakuwa na chochote.
Utetezi wa Makosa ya jinai unahitaji akili kubwa hasa kutoboatoboa ushahidi wa upande wa mashitaka, na katika mazingira ya sheria zetu, shaka kidogo tu inatosha kumwachia huru mtuhumiwa,

The burden of proof lies on the shoulders of the Prosecutor but any reasonable doubt created on defense side can set any accused free.
 
Mungu wa Ibrahimu, Isaack, Yakobo hata Yusufu, asubuhi leo nasogea mbele ya kiti chako kwa unyenyekevu, lakini kabla ya kusogea mahali patakatifu pako naomba kutibu maovu yangu ya kuwaza, kuona, kutamani, kusikia, kunena kwangu na kuonja kwangu kinyume na mapenzi yako.

Mungu wangu ni Mungu mkuu sana mwenye kuogofya, mwenye utisho mwingi wa rehema ikiwa maji ya Bahari ya Shamu yaliogopa ukuu wako na kuacha njia watumishi wako wakapita kwani Leo utabadilika? Ikiwa Joshua alikuomba jua lisimame hata Vita iishe kwani leo wewe ni Mungu wa tofauti? Ikiwa wayahudi walifunga bila kunywa Wala kula Hadi wahakikishe Paulo kafa kinyume chake ulimtembelea Paulo na kumwambia ikiwa umeweza kunitangaza hapa Basi huna budi kusimamia mbele ya kaisari kwani leo wewe Mungu umebadilika?

Nakuita kutoka kwenye kiti cha enzi simama na geuka na kusikiliza maombi ya mtumwa wako asubuhi ya leo, nakuadhimisha eeh Mungu wangu daima siku zote fanya hima kumtoa mtumishi wako kwenye kinywa cha shetani na ukamweke huru daima nami nikashuhudie matendo yako makuu.

Ikiwa Mungu kwangu nilikuona kwa viwango vya ajabu hata huwa mpaka leo nabaki kushangaa matendo yako endelea kunishangaza Tena leo hii juu ya mtumwa wako Mdude Nyangali.

Nasimama kutubu kwa ajili yake Mdude, natubu kwa Raisi wangu mama Samia na wasaidizi wake wote, natubu kwa jaji Mkuu, natubu kwa hakimu anaesimamia kesi ya Mdude, natubu kwa wakili mtetezi wa Mdude najua ni watu wako japo nao ni binadamu Wana makosa hivyo wasamehe daima.

Baba nasimama kwa jina la Yesu Kristo wa Nazareth, ikawe kinyume na nguvu zote za giza na kushindwa kama shetani ulivyomshinda pale msalabani.

Kwa jina la Baba na la mwana na roho mtakatifu ameen!
Amina mtu wa Mungu.
 
mwachen afungwe, mlivyoshabikia sabaya kuwekwa ndan mkazan mazur??? kumbe na ninyi mnaumiaga eeh?? alafu huyo mdude mwnyewe hana akili kabisa, yaan mambo aliyokuwa akipinga hata hana uwezo nayo, kuanzia elimu, mpka nguvu za kuwa handle watu wenye nguvu serkalin, tofaut na wenzake wakina maria sarungi, fatuma karume, kigogo, zito kabwe, yaan huyo bwege alkuwa akifuata mkumbo tuu na uku n masikini choka mbaya, acha akanyee debe , siku nyingne ajifunze kuheshimu mamraka, ama kutoshindana na dora, pumbv kabisa fuungaaa huyo pimbi.....

ona wanachedomo watakavyonivamia kwa hasira awooo.....hata mtu umuombee ni kazi buree msijichoshe, Mungu asikiliza maomb yakipumbav kama hayo.....ndy hivyo hakuna kinachobadirka
Anatoka leoo
 
Huyu jamaa anaweza kupigwa Mvua kwa sababu Kuu 2;

Mosi,Katika utetezi wake lazima kuweka shaka kuhusu namna alivyokamata na 20.4 gm za madawa ya kulevya hata kama hatumii, alipaswa kuonyesha mashaka/reasonable doubts jinsi gani hizo grams zilifika mikononi mwake,

Pili, katika utetezi wake ukishindwa kuonyesha mashaka ya search warrant hassa kwenye kipengele cha muda wa kufanya searching na uwepo wa Mwenyekiti wa Mtaa katika makazi yake. Criminla Procedure inasema kuwa muda wa kufanya upekuzi usizidi saa 1jioni na Mwisho, Mdude alipaswa kusema kuwa yeye hakuwapekua polisi kabla hawajaingia nyumbani kwake kama sheria inavyosema na alipaswa kusaini certificate of seizures kwamba hawakuwa na chochote.
Utetezi wa Makosa ya jinai unahitaji akili kubwa hasa kutoboatoboa ushahidi wa upande wa mashitaka, na katika mazingira ya sheria zetu, shaka kidogo tu inatosha kumwachia huru mtuhumiwa,

The burden of proof lies on the shoulders of the Prosecutor but any reasonable doubt created on defense side can set any accused free.
Ahsante
 
Huyu mtu asokuwa na madili mnasema nae alionewa, mwacheni avune alicho panada kama mahakama itamwachia huru basi ni vema ila kama atakuwa na hatia ni vema pia maana kila mtu atavuna alicho panda.
tatizo hili genge la wahuni wa chadema ndiyo wanasema anaonewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom