EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Kesho tunatarajia hukumu ya kwanza ya kesi za EPA katika Mahakama ya Kisutu. Hukumu hiyo itakayosomwa na mahakimu watatu ambao ni Saul Kinemela, Focus Bambikya and Elvin Mugata itakuwa dhidi ya mfanya biashara kada wa CCM Rajabu Maranda na Farijali Hussein wanaoshtakiwa kwa kuiba Sh 1.8bn/- kupitia akaunti ya EPA.