Hukumu ya chenge vipi?

Hukumu ya chenge vipi?

Unajua hili ni tusi kwa familia za marehemu hao..na ubutu wa sheria zetu mufilisi ambazo zinabariki wavunja sheria huku zikiwaumiza wanaoattempt kufanya makosa...too bad...kwa hesabu zisizo rasmi ina maana na mwendesha bajaji km angepatwa umauti ndugu Chenge angetoa Tsh 950,000/= hii ikiwa na maana ni 250,000 kwa watu watatu na makosa mawili ya nyongeza!
Kiungwana huyu bwana angestahili kukaa aside kidogo kujihusisha na shughuli za kisiasa km njia mojawapo ya ku-regret aliyofanya japo hakukusudia (huenda)...kwa mfumo huu itachukua muda mrefu sana hisia za usawa kukaa mioyoni mwa watu!
 
Safi sana mhe.chenge kwasababu watu hatujui kuwa nyie niyo nyie wenye hisa kwenye kampuni la marehemu jk nyerere la ccm., mpaka waje juwa kuwa nyie ndo nyie itakuwa dunia imekwisha!. Kwanza unasali dini gani ambayo inaendelea kukukumbatia wewe?.

Ok ndugu mmoja kasema unachangia sana kwenye dini yeno!. Kwahiyo ukikosolewa tu! Unasitisha ile michango!.

Lakini wambie ipo siku ambayo itakuwa ama zenu au zao!
inaskitisha sana
 
laki 7 tu pamoja na vifo vya watu 2 tena wasichana mmh ,gharama hiyo haitoshi hata ku-repair hiyo bajaji.
kweli sheria za tz ni kwa walalahoi tu wala sio kwa mafisadi
Hivi wazazi wa hao marehemu wana hali gani hadi hivi sasa!? Au Mr Chenge alienda kuwapa pole yakaisha!?
 
Back
Top Bottom