Hukumu ya ally kamwe iliishia wapi?

Hukumu ya ally kamwe iliishia wapi?

Bani Israel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
2,145
Reaction score
4,292
Ndugu zangu kuuliza sio ujinga. Ally kamwe si alifungiwa kujihusisha na mpira kwa miaka miwili?

Imekuwaje anaendelea kujihusisha na mpira hadi hili sakata la tabora limetokea nimeshangaa sana kuwa bado ni msemaji wa yanga mbona manara alipofungiwa aliachia ngazi?.
 
Back
Top Bottom