Hukumu batili ya lema

zee la weza

Senior Member
Feb 7, 2012
190
29
Wana JF(majembe), nimefuatilia hukumu ya lema iliyotolewa na Jaji Gabriel Rwakabalira na kuona kwamba kuna vipengele viwili vifuatavyo;

Illegal campaigns(kifungu 108),kama mbunge wakati wa kampeni za uchaguzi alimtukana au kumdharirisha mpinzani wake au kutukana tume ya uchaguzi, adhabu yake ni kuvuliwa ubunge lakini anaruhusiwa kugombea tena kwenye uchaguzi mdogo utakaoitishwa.

Illegal practices(kifungu 114), kama mbunge wakati wa kampeni za uchaguzi alijihusisha na vitendo vya rushwa, adhabu yake ni kuvuliwa ubunge na haruhusiwi kugombea ubunge tena mpaka miaka 5 au 10 ipite ndipo anaruhusiwa tena kugombea.

Lakini cha kushangaza LEMA alihukumiwa kwa kutumia kifungu cha 114 wakati yeye kosa lake halihusiani na rushwa, nimejitahidi kutafuta hivyo vifungu kwenye katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tz ya 1977 ili nivisome vizuri, lakini sjaona hivyo vifungi, tafadhali makamanda anayejua hivyo vifungu vilipo anijulishe, yaani nina hasira sana na hukumu batili ya kamanda wetu lema.
"Nawasilisha kwenu ma- great thinkers"
 
Wana JF(majembe), nimefuatilia hukumu ya lema iliyotolewa na Jaji Gabriel Rwakabalira na kuona kwamba kuna vipengele viwili vifuatavyo;

Illegal campaigns(kifungu 108),kama mbunge wakati wa kampeni za uchaguzi alimtukana au kumdharirisha mpinzani wake au kutukana tume ya uchaguzi, adhabu yake ni kuvuliwa ubunge lakini anaruhusiwa kugombea tena kwenye uchaguzi mdogo utakaoitishwa.

Illegal practices(kifungu 114), kama mbunge wakati wa kampeni za uchaguzi alijihusisha na vitendo vya rushwa, adhabu yake ni kuvuliwa ubunge na haruhusiwi kugombea ubunge tena mpaka miaka 5 au 10 ipite ndipo anaruhusiwa tena kugombea.

Lakini cha kushangaza LEMA alihukumiwa kwa kutumia kifungu cha 114 wakati yeye kosa lake halihusiani na rushwa, nimejitahidi kutafuta hivyo vifungu kwenye katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tz ya 1977 ili nivisome vizuri, lakini sjaona hivyo vifungi, tafadhali makamanda anayejua hivyo vifungu vilipo anijulishe, yaani nina hasira sana na hukumu batili ya kamanda wetu lema.
"Nawasilisha kwenu ma- great thinkers"
Kamanda nahisi na hasira kuliko wewe lakini kwani Mh Lema si anakesi zingine mahakamani? sasa kwa mujibu wa sheria mtu mwenye kesi ya jinai anaruhusiwa kugombea nafasdi yeyote ya uongozi, maana magamba wasitudanganye baada ya Lema kuchukuwa fomu watampinga na kupata ushindi wa mezani
 
Wana JF(majembe), nimefuatilia hukumu ya lema iliyotolewa na Jaji Gabriel Rwakabalira na kuona kwamba kuna vipengele viwili vifuatavyo;

Illegal campaigns(kifungu 108),kama mbunge wakati wa kampeni za uchaguzi alimtukana au kumdharirisha mpinzani wake au kutukana tume ya uchaguzi, adhabu yake ni kuvuliwa ubunge lakini anaruhusiwa kugombea tena kwenye uchaguzi mdogo utakaoitishwa.

Illegal practices(kifungu 114), kama mbunge wakati wa kampeni za uchaguzi alijihusisha na vitendo vya rushwa, adhabu yake ni kuvuliwa ubunge na haruhusiwi kugombea ubunge tena mpaka miaka 5 au 10 ipite ndipo anaruhusiwa tena kugombea.

Lakini cha kushangaza LEMA alihukumiwa kwa kutumia kifungu cha 114 wakati yeye kosa lake halihusiani na rushwa, nimejitahidi kutafuta hivyo vifungu kwenye katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tz ya 1977 ili nivisome vizuri, lakini sjaona hivyo vifungi, tafadhali makamanda anayejua hivyo vifungu vilipo anijulishe, yaani nina hasira sana na hukumu batili ya kamanda wetu lema.
"Nawasilisha kwenu ma- great thinkers"
Kaka inaelekea mambo ya sheria yamekupitia mbali sana,hivyo vifungu uwezi vikuta katika katiba pia katiba haina vifungu ina ibara,ukitaka vipata vifungu hivyo 108 na 114 tafuta sheria ya uchaguzi ndio utapata hivyo vifungu
 
Kamanda nahisi na hasira kuliko wewe lakini kwani Mh Lema si anakesi zingine mahakamani? sasa kwa mujibu wa sheria mtu mwenye kesi ya jinai anaruhusiwa kugombea nafasdi yeyote ya uongozi, maana magamba wasitudanganye baada ya Lema kuchukuwa fomu watampinga na kupata ushindi wa mezani

Hilo la kesi kwani ni shida? Mbona yule naniiii wa kule rombo na naniii wa vijisenti waligombea na huku wanakesi mahakamani halafu naniiiii wa ikulu akawapigia kampeni hadharani? Au tuseme ni CCM tu?
 

Hilo la kesi kwani ni shida? Mbona yule naniiii wa kule rombo na naniii wa vijisenti waligombea na huku wanakesi mahakamani halafu naniiiii wa ikulu akawapigia kampeni hadharani? Au tuseme ni CCM tu?

kaka kuwa huru ucogope kutaja majina sema mh.chenge na mramba na Mh.kikwete ndio aliyewafanyia kampeni
 
Iyo hukumu imeamriwa na WAHUNI WACHACHE.

Hivi mahakama ya rufaa haiwezi kutengua hii hukumu mshenzi? Yaani mimi nina mgogoro na wasomi wetu wa sheria. Inakuwaje Jaji anatoa hukumu ambayo hata mtoto wa drs la 5 anagundua kwamba jaji kachemka? Hivi kuna ubaya gani huyo Jaji akiangukiwa na nguvu ya umma? Nyamb...f zake!
 
Soma ibara ya 67 ya katiba Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utapata majibu
ya sifa za mbunge
 
Back
Top Bottom