Yohane leonard
Member
- Oct 22, 2016
- 47
- 29
Leo mweziii toka bodi watoe mikopo kwa wanafunzi lakini leo ni mwezi hela ya kujikimu(boom) kwa vyuo vyenye hadhi kubwa kama SUA ni janga....majina hayatoki ya kusign hadi leo wanatoa ma wili mawil...duh tunaisoma nmba