Huku ni kumuenzi Nyrere

mdegella

Member
Feb 13, 2012
9
4
Kila nikiangali tv nakutana mijadala mbalimbali inahusu Mwalim Nyerere walio ndani ya madaraka na nje ya madaraka wanalalamika, mwalimu haenziwi, hivi ni nani wa kumuenzi jamani ,mimi naona hao waliopo madarakani namaanisha wanasiasa ndiyo muhimili wasibaki wanalalamika.Rushwa wao ndiyo vinara,ukandamizaji niwe muwazi matumbo yao yamewafanya kuwa walalamishi badala ya kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…