Jamani huu ndio utaratibu rasmi wa kutawazwa na Malkia wa Uingereza kuwa "Sir" Ni utaratibu uliorithiwa toka karne nyingi katika utawala wa Kiingereza. Hauna uhusioano na udhalilishaji. Malkia hugusa bega moja baada ya jingine la mtawazwa kwa sime kama inavyoonekana kwenye picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.