kuna binti mmoja tunasoma naye chuo kimoja hapa nchini tumeaza chuo mwaka 2011 sasa tuko mwaka wa tatu nilipo muona tukiwa mwaka wa kwanza nilimpenda sana lakin akaniambia yeye anamtu nakwakua mimi nilikuwa natafta mke nikaachana naye lakin kwa sasa anajitahdi kujenga mahusiano ya karibu sana ila nikimwambia kusudi anasema ninaharaka je? Nichukuwe hatua ipi