muongozaji
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,386
- 1,003
shukrani
Karibu
shukrani
Walizoea vya itolo ..au vya kujinyongea..teh teh tehWatu wa kijani ndio wanaisoma number zaidi cose walizoea vya bwerere
kuna wanaosema Magufuli apewe miaka 20 ya urais bado?Walizoea vya itolo ..au vya kujinyongea..teh teh teh
wee inaonekana tayar uko mochwali...Unaota usingizi wa mchana. Nadhani na wewe ni jipu. Kwa hiyo atafuatia Lowasa!!!!
bwege ni wa upande upi na villaza ni wa upande upi?Bwege Vs ki laaaza nani mkali?
Big up mleta mada.