Huko Umoja wa Mataifa Tanzania ni Wasindikizaji tu

Huko Umoja wa Mataifa Tanzania ni Wasindikizaji tu

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,790
Reaction score
24,378
Nimefuatilia kura nyingi za Umoja wa mataifa, kwa asilimia kama 80 ya kura zote, Tanzania huwa ni "abstention" tu, yaani hawapingi wala hawakubali; wapo wapo tu! Hata kura ya busara ya kuunga mkono amani huko Ukraine wao wanasema, hatuna la kusema.

1772552976237.png

1772553060615.png
 
kwenye vitu vichache vya kuiunga mkono serikali jambo hilo ni miongoni
 
Back
Top Bottom