Huko ni kwa mme wangu!

Huko ni kwa mme wangu!

Huo sio uzinzi maana sijaoa,ungesema niache uasherati hapo sawa. Yule mwanamke ndio mzinzi maana ameolewa. Mimi ni uasherati. Alafu uasherati sio dhambi,hauko kwenye amri kumi za makatazo ya Mungu.

Una matatizo wewe si bure, je hukusoma imeandikwa...

1 Wakorintho 6:9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti



Waebrania 13:4 Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu.
 
Watu8 umemaliza points zote, jamaa hana pakufichia uasherati wake . Barikiwa sana kwa muongozo wa maandko matakatifu.
 
Tafadhali edit hilo neno KIBLA, hilo neno si mahala pake hapo kabisa. Kibla ni uelekeo(direction) maalumu wa waislamu ulimwenguni kote katika kutekeleza ibada zao kama swala ,kuchinja n.k , kulihusisha na tendo ovu la zinaa ni kutowatendea haki kabisa. Kuwa mstaarabu! Usiwachokoze halafu wakianza kusema useme wanaleta udini. Chonde chonde badilisha hilo neno

Cc#mkoroshokigoli

Kwa kweli hakufanya vizuri,au inawezekana ameweka hiyo kwenye kundi la N.k?
 
Back
Top Bottom